Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Kila mtu ana tabia yake ambayo huenda mwenza wake inamkera au itamkera kwenye maisha ya ndoa lakini kamwe hawezi kuiacha
Kwa wale walioa ni tabia gani wameshindwa kuziacha wakati huu wa maisha yao ya ndoa
Au sisi tutakaokuja kuoa ni tabia gani tunahisi tutashindwa kuziacha katika maisha yetu ya ndoa
mfano mimi : KUBETI siwezi acha hata nikioa
Kwa wale walioa ni tabia gani wameshindwa kuziacha wakati huu wa maisha yao ya ndoa
Au sisi tutakaokuja kuoa ni tabia gani tunahisi tutashindwa kuziacha katika maisha yetu ya ndoa
mfano mimi : KUBETI siwezi acha hata nikioa