Tabia utakazokutana nazo JF.

Tabia utakazokutana nazo JF.

Watu wengi wanapojiunga JF, wana this impression kuwa its all sunshine and roses. Kila mtu yuko friendly na hoja inajibiwa kwa hoja. Pretty soon they find out that is not the case.

1. Chameleon
Kila kitu chake ni full of contradiction. Mfano: Mara atasema ameishia la nne, halafu kwenye post nyingine atacomment jinsi alivyokuwa chuo. Mara atasema yuko location fulani, halafu baadae ataongea kama yuko location nyingine kabisa. n.k

2. Politicals
Kila mada atajibu kisiasa. Hata mada ambazo hazihusiki.

3. Clique
mada itachangiwa kulingana na nani ndio ameanzisha mada au amecomment kwenye hiyo thread. Otherwise the thread inakuwa ignored. You see so many great threads zime-end up with very sparse comments, just beacause alieanzisha mada sio popular.

4. Hot stove
Mkijibizana kidogo tu, au kuwa na mtazamo tofauti hucheleweshewi kuporomoshewa matusi nakuitwa kila aina ya jina.

5. Jester
Mtu atakuja na issue serious lakini atachukulia mzaha mzaha.

6. No meaningful comment.
Hakuna cha maana atakacho comment kwenye post zaidi ya kusema nimewahi siti, au kuomba picha.


7. One/two time response.
Akishacomment mara moja au mbili kwenye thread ndo imetoka hiyo. Hajibu tena, hata kama thread aliianzsha mwenyewe.

8. Bougie
Pretending to be expensive/rich/extravagant ukilinganisha to how they really are.

9. Grave diggers
wafukua makaburi. they make sure they always bring up the past to haunt you.

10. Single mom/women basher
wamewageuza single mum au wanawake kuwa punching bags. Wata-criticize everything about women, every day all day.
11. Kuna mijanaume yenye tabia za kike... kazi kuwasema wanaume wenzao... haya ndo post yoyote lazima yaandike "wanaume wa Dar"
 
Thread zako zinaonesha unahitaji msaada wa mwanasaikolojia!
You seems to be "always right" hata majina tu ni tofauti, hiyo tu ni tofauti yetu
 
Yaani.
Halafu cha kushangaza sasa, hao wanaotupondea sie single mom, ndio hao tumebanana nao Pm 24/7.
Kila siku wanalala na kuamka Pm kwetu.
Asa sielewi, ni kwamba wanatukubali kimya kimya au wanataka mbunye kijanja?
Mie mbunyw yangu imeshatanuka waambie
Mbunye ni elastic bana inatanuka na kusinyaa...kichwa cha mtoto kikishapita baada ya mda inarudi kwenye ubora wake, good as new
 
Thread zako zinaonesha unahitaji msaada wa mwanasaikolojia!
You seems to be "always right" hata majina tu ni tofauti, hiyo tu ni tofauti yetu
You seems to be = You seem to be.

Wakati yeye anaenda kwa mwanasaikolojia, wewe nenda kwa Ras Simba. No hard feelings!

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Mbunye ni elastic bana inatanuka na kusinyaa...kichwa cha mtoto kikishapita baada ya mda inarudi kwenye ubora wake, good as new
Hahahah
Wanaume huwa hamkubaligi kushindwa.
Saafi sana
 
Back
Top Bottom