Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Magari ya abiria ya Barabara ya Mbeya kwenda Kyela, hapo namaanisha kutoka wilaya moja kwenda nyingine yanajaza sana abiria tofauti na uwezo wake.
Gari hizo zimekuwa na utaratibu wa kutoa Viti vya katikati kisha wanasimamisha abiria, fikiria umbali wa zaidi ya Kilometa 120 Watu wanasimama ndani ya gari.
Uwezo wa gari hizo ni kubeba abiria 29 lakini maajabu yake gari hizo zinabeba zaidi ya Abiria 40.
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani siyo kwamba hawaoni bali wao wanakunja buku mbili kisha wanaruhusu gari iendelee na safari.
Inawezekana ikaonekana ni kitu cha kawaida kwa kuwa hakuna tatizo lililotokea lakini siku ikitokea inakuwa sio salama zaidi kwa vyombo na wahusika wenyewe waliopo ndani ya gari.
Gari hizo zimekuwa na utaratibu wa kutoa Viti vya katikati kisha wanasimamisha abiria, fikiria umbali wa zaidi ya Kilometa 120 Watu wanasimama ndani ya gari.
Uwezo wa gari hizo ni kubeba abiria 29 lakini maajabu yake gari hizo zinabeba zaidi ya Abiria 40.
Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani siyo kwamba hawaoni bali wao wanakunja buku mbili kisha wanaruhusu gari iendelee na safari.
Inawezekana ikaonekana ni kitu cha kawaida kwa kuwa hakuna tatizo lililotokea lakini siku ikitokea inakuwa sio salama zaidi kwa vyombo na wahusika wenyewe waliopo ndani ya gari.