Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ndio wako hivyo na ukiwakataza ni kesi utanuniwa hadi ujute π πBinti mdogo wake na wife kaja kututembelea baada ya yeye kumaliza shule (kidato cha nne). Dogo alivyofika alikuwa mpole sana as days goes on naona anazidi kucharuka anaongea na simu mpka usiku mnene. Nishamwambia wife aongee nae anasema anaogopa atamkwaza na itaonekana anamnyima uhuru.
Jana dogo kaongea na simu mpka saa nane usiku. Nakuja kustuka usingizini nasikia mtu anaongea na simu moyoni nikasema huyu binti hanijui. Asubuhi kumekucha ikabidi nimkalishe chini nimpe orientation ya kuishi kwenye nyumba yangu mbele ya dada yake. Akaomba msamaha yakaisha.
Hawa mabinti wanapata wapi huu ujasiri? Watu wamelala yeye anajiachia story kama mchana vile? Japo kuna Gipsum bado sauti yake iliniamsha.
Ni huyu wa kwangu tu au na wa kwenu wapo hivyo?
NBπogo ana miaka 18 tu.
ππ»ππ»ππ»Kuna Mmoja nilikua nasafiri na Bus La usiku , alikua nyuma yangu, Gen Z alioongea na simu Kwa muda wa Masaa nne, inakata anapiga, Tena anaongea na MTU la Kijana kenzake, matusi tupuuu.
Utasikia..... Hiyo kitu umeshampa mariaa, umeshaitumiaa na ya Happy.. nakujaaa huko lin yangu aikupi Ng'oo, ungekua unataka yangu ungenifata nilikoseaπ€£π€£π€£
Nilikageukia, nikaweka sura Ngumu , nikakambia , Nisisikie Tena kelele zako zisizjali huku Ndani Kuna Baba na Mama zako
GenZ akakaaga Ka GenZ kenzake, sikusikia tena mpaka nashika DODOMA.
Baada ya Gen Z.. kuna Beta version π π sijui Hawa watakuajeKuna Mmoja nilikua nasafiri na Bus La usiku , alikua nyuma yangu, Gen Z alioongea na simu Kwa muda wa Masaa nne, inakata anapiga, Tena anaongea na MTU la Kijana kenzake, matusi tupuuu.
Utasikia..... Hiyo kitu umeshampa mariaa, umeshaitumiaa na ya Happy.. nakujaaa huko lin yangu aikupi Ng'oo, ungekua unataka yangu ungenifata nilikoseaπ€£π€£π€£
Nilikageukia, nikaweka sura Ngumu , nikakambia , Nisisikie Tena kelele zako zisizjali huku Ndani Kuna Baba na Mama zako
GenZ akakaaga Ka GenZ kenzake, sikusikia tena mpaka nashika DODOMA.
Asante.Nilitumia neno la Mungu kukarekebisha.Wote wako hivyo ndio starehe Yao
Umefanya vizuri endelea kumrekebisha huwa vinapenda sana mtu anaevipa muongozo kuliko anaviacha viende Bora liende amini katakupenda Cha msingi usiwe na udikteta
#unawezahatakupigakidogo#
Asante sana mkuuNyie mnao mbeza kisa kumuonya huyo bint ivi jaman hamna watoto wa kike au wadogo wa kike? Kwaiyo hiyo ni adabu mnavoona khaaa watu wa humu kutoa comment zisizo na msingi
Hujakosea mtoa mada umefanya vema watoto wakike ni wakuwaangalia vema wanapokosea wanatakiwa kuonywaa
Shule zifunguliwe mpungue tu humu ndani.Sijaelewa,
Yaani huyo binti akiwa anaongea na simu usiku kinachokuuma ni nini?
Umeshasema ulikuwa umelala, maana yake kuongea kwake hakukusumbui wewe kulala.
Mbona una mambo ya kikoloni sana.
Safi sanaKuna Mmoja nilikua nasafiri na Bus La usiku , alikua nyuma yangu, Gen Z alioongea na simu Kwa muda wa Masaa nne, inakata anapiga, Tena anaongea na MTU la Kijana kenzake, matusi tupuuu.
Utasikia..... Hiyo kitu umeshampa mariaa, umeshaitumiaa na ya Happy.. nakujaaa huko lin yangu aikupi Ng'oo, ungekua unataka yangu ungenifata nilikoseaπ€£π€£π€£
Nilikageukia, nikaweka sura Ngumu , nikakambia , Nisisikie Tena kelele zako zisizjali huku Ndani Kuna Baba na Mama zako
GenZ akakaaga Ka GenZ kenzake, sikusikia tena mpaka nashika DODOMA.
Manyanza unanichukuliaje yani? πΉπΉIli iweje sasa πππ
Baadae sana nilikuwa napakua misoseji kama yote πππ
Saa hivi ashaanza kuwa Mshangazi 31 hataki tena kupakuliwa
Tatizo we muongo πΉHivi Mwanangu mbona unanichukulia kizembe hivyo π€£π€£π€£
Manyanza unanichukuliaje yani? πΉπΉ
We hizo chai wape wa kuja bana
Niamini Mwanangu halafu Mimi huwa sidanganyi kabisaaaaTatizo we muongo πΉ
Hapo kwenye NB, naona unataka tupazingatie ili tukupe ruhusa ya kumshawishi binti muende mbali ukale mchongoBinti mdogo wake na wife kaja kututembelea baada ya yeye kumaliza shule (kidato cha nne). Dogo alivyofika alikuwa mpole sana as days goes on naona anazidi kucharuka anaongea na simu mpka usiku mnene. Nishamwambia wife aongee nae anasema anaogopa atamkwaza na itaonekana anamnyima uhuru.
Jana dogo kaongea na simu mpka saa nane usiku. Nakuja kustuka usingizini nasikia mtu anaongea na simu moyoni nikasema huyu binti hanijui. Asubuhi kumekucha ikabidi nimkalishe chini nimpe orientation ya kuishi kwenye nyumba yangu mbele ya dada yake. Akaomba msamaha yakaisha.
Hawa mabinti wanapata wapi huu ujasiri? Watu wamelala yeye anajiachia story kama mchana vile? Japo kuna Gipsum bado sauti yake iliniamsha.
Ni huyu wa kwangu tu au na wa kwenu wapo hivyo?
NBπogo ana miaka 18 tu.
Hahahaa! Malezi ni muhimu siyo tabia nzuri kukesha unaongea na huyo bado mtoto lazima alindwe wasimpe mimba hao anaoongea naoKwahiyo unafatilia maongezi yake??
Wewe una nia ovu, huo muda ulitakiwa umbambie mkeo lakini ulivyo na karoho ka uzinzi ndani yako uko busy kujua anaongea na nani??
Na lazima alikuwa anaongea na wapenzi wake ndo kilichokuuma πΉπΉπΉ