Tabia ya Gen Z kupenda kuongea na simu mpaka usiku mnene ni kawaida au ni huyu wa kwangu tu?

Ni shida sana mkuu
 
Tanzania , kuna useless people

Umri wa 15/16/17/18

Badala mtoto awe anafanya online business anatafuta hela kupitia sim Ila yeye. Ni kutongozana na kuwaza ngono 24/7

This is shit and bullshit.

Mimi mdogo Ana 15 yrs Ila Ana run business kubwa tu.

Anaingiza 100K Kama profits na kuuza mzigo hadi wa 600K


So watengenezeni watoto sio mna andaa Malaya na mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…