Tabia ya kuanika nguo za ndani (chupi) ndani

Tabia ya kuanika nguo za ndani (chupi) ndani

las Casas

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2015
Posts
575
Reaction score
720
Tabia hii imekuwa ikifanya chupi kuwa na kiharufu flan hivi kibaya kutokana na kukosa Jua vizuri na kupelekea mvaaji kuonekana ananuka. Jamani tuanike nguo za ndani nje tu na kama unahofia basi anika na kusimamia mpaka zikauke.
 
Tabia hii imekuwa ikifanya chupi kuwa na kiharufu flan hivi kibaya kutokana na kukosa Jua vizuri na kupelekea mvaaji kuonekana ananuka. Jamani tuanike nguo za ndani nje tu na kama unahofia basi anika na kusimamia mpaka zikauke.
Sasa mtu asimamie hana kazi?...Halafu hii ishu inakuwaga ni circumstance tu....Sehemu nyingine haziruhusu.
 
Tabia hii imekuwa ikifanya chupi kuwa na kiharufu flan hivi kibaya kutokana na kukosa Jua vizuri na kupelekea mvaaji kuonekana ananuka. Jamani tuanike nguo za ndani nje tu na kama unahofia basi anika na kusimamia mpaka zikauke.

Km ulivyosema ni vizuri saana kuanika chupi kwenye jua. Ila kutokana na chupi kwa maadili yetu ya Kiafrika kuwa ni kitu cha aibu basi huanikwa ndani, Anika chupi ndani ila sehemu yenye hewa..Ikiwezekana kabla hujaivaa ipige pasi kidogo sio kwenye lastick bali zile sehemu za kati.

Pia si vyema sana kuanika chupi nche kwani baadhi ya binadamu waliomuhasi Mungu huzitumia vibaya. Unaweza pata gonjwa ambalo hujui aliyekupa. Adui yako huweza tumia chupi yako na ukaharibikiwa sana. Chupi ni kitu muhimu sana ni kitu cha kutunza sana. Kwa ambaye hajawahi kupatwa na mikasa hatoamini ila kwa aliyewahi ataamini.
 
Kwann chupi inahusishwa na mambo ya kishirikina wakati pensi au bukta hailogeki?!
 
🙁🙁🙁 Usimamie mpaka zikauke?? Hahahaa, iyo balaa sasa! ila ulichoongea kina umuhimu sana, ni muhimu kuanika chupi zetu nje ukishaanika zifunike hata kwa kanga na kuzibana kwa vibanio
 
Nunua mashine ya kufulia ambayo inakausha humohumo kwa kutumia umeme. Unakuwa maridadi muda wote wakati wote......

Zipo hizo?

Za kufua na kukausha humo humo?

Zinapatikana wapi? hhgregg?
 
Kwann chupi inahusishwa na mambo ya kishirikina wakati pensi au bukta hailogeki?!
Adui wa maisha yako ni imani yako, huko kwenye ushirikina wapeleke chupi iliyokwisha fuliwa na kuondolewa uchafu ili wafanyie nn sasa? Maana angalau ingelikuwa bado chafu chupi ikiwa inafuliwa vizuri pale kati haitokua na tofauti sana na chupi mpya! Zaidi ya kutofautiana kwa uchavu Mbona hao washirikina hawapeleki chupi mpya? Ijaze imani yako kwa kuamini Mungu tu si vinginevyo
 
Zipo hizo?

Za kufua na kukausha humo humo?

Zinapatikana wapi? hhgregg?

Nenda game pale Mlimani City utazikuta.... dry washing machine

Nyani weeeh, kwani manyani huwa mnafua? nyie mkiruka ruka juu ya miti inalowa majasho kisha inapigwa na upepo kisha inakauka yenyewe.......

Au unataka kumnunulia nanihii...... (...................) hehehehehehee
Faaaarrrk yaah
 
Zangu nje sianiki ndani by now naenda kuloweka kesho nazifua natandaza kwenye kama chaaa mafunguz kiboo.. Kuanika chupi ndani ni uchafu na wengu zinakuwa na kaweusi pale kati wengine zimetoboka pale kati[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Zangu nje suaniki ndani by now naenda kuloweka kesho nazifua natandaza kwenye kama chaaa mafunguz kiboo.. Kuanika chupi ndani ni uchafu na wengu zinakuwa na kaweusi pale kati wengine zimetoboka pale kati[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwa nini zinakuwa zimetoboka pale kati? Kwa sababu ya kusuguliwa sana wakati wa kufuliwa?

Ila ujue vile vitobo huwa convenient sana....kwa easy access😛.
 
Back
Top Bottom