barnabas masoko
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,298
- 659
Duh hii Kali NATO hivi inakonka eeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoboka kati inachangiwa na vitu Vingi unakuta chupi pale kati ikiwa chafu imekakamaa kama mfuko wa kaki uliokunjwa kunjwa hiyo chupi lazima iwe hatarini kutoboka toboka ndo maana tunasisitiziwa hasa kina dada lazima ujue namna ya kusafisha nyeti zako na kuziweka safiKwa nini zinakuwa zimetoboka pale kati? Kwa sababu ya kusuguliwa sana wakati wa kufuliwa?
Ila ujue vile vitobo huwa convenient sana....kwa easy access😛.
[emoji631] [emoji631] [emoji631] pale kati kuna vimaji huwa vinadondokea....Kwa nini zinakuwa zimetoboka pale kati? Kwa sababu ya kusuguliwa sana wakati wa kufuliwa?
Ila ujue vile vitobo huwa convenient sana....kwa easy access😛.
Ziba masikio mkuuMimi nasikia aibu kuanika hata boxer nje.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ziba masikio mkuu
Hii itakuwa ni shuleni siyo chuoniHahahahaa..kuanika chupi nje inanikumbusha tukio moja matata sana...kuna chuo kikuu flani hapa TZ ambacho hostel za KE na ME zinatazamana.Sasa kina dada wakawa wanafua bikini pamoja na chupi zao na kuzianika nje kwenye kamba, Boyz wakaanza kulalamika kwamba zinawatamanisha na kuwapa usumbufu.Baada ya girls kusikia hayo malalamiko ya boys, wakaongeza kasi hata ambao walizoea kuanika ndani walianza kuzianika nje ili kutamanisha zaidi.BOYS ARE ALWAYS BOYS! ndio kauli iliyotumika, jamaa walipanga tukio na wawili kati yao walijitolea kulitekeleza.Baada ya chupi kuanikwa nje na wao wakiwa madarasani, hao jamaa walichukua upupu na kuutia kwenye kila chupi iliyoanikwa.Sehemu nyingine walichanganya upupu, pilipili ya unga na maji kisha kunyunyuzia kote.Siku iliyofuata wanawake walikiona cha mtema kuni, hapa kukalika hostel wala darasani.Wali haha kila kona ya hostel, Kwanzia ile siku hakuna chupi iliyoonekana nje tena.
Kama wewe uliona shule basi mimi nililishudia kwenye chuo kikuu.Hii itakuwa ni shuleni siyo chuoni
Hizo mashine zinauzwa sh ngapNunua mashine ya kufulia ambayo inakausha humohumo kwa kutumia umeme. Unakuwa maridadi muda wote wakati wote......
Sina hakika kwa Tanzania zinauzwaje, ila kama upo Dar nenda aple Game Shop huwa wanakuwaga nazo na bei hupishana kutokana na uzito wa uwezo wa kufua. Pia bei hutofautiana kutokana na aina ya kampuni ya mashine husika mfano Defy, Westpoint etc. au unaweza uka google.Hizo mashine zinauzwa sh ngap
AsanteSina hakika kwa Tanzania zinauzwaje, ila kama upo Dar nenda aple Game Shop huwa wanakuwaga nazo na bei hupishana kutokana na uzito wa uwezo wa kufua. Pia bei hutofautiana kutokana na aina ya kampuni ya mashine husika mfano Defy, Westpoint etc. au unaweza uka google.