Tabia ya kuanika nguo za ndani (chupi) ndani

Tabia ya kuanika nguo za ndani (chupi) ndani

Tabia hii imekuwa ikifanya chupi kuwa na kiharufu flan hivi kibaya kutokana na kukosa Jua vizuri na kupelekea mvaaji kuonekana ananuka. Jamani tuanike nguo za ndani nje tu na kama unahofia basi anika na kusimamia mpaka zikauke.
Bafuni kwako kuna tatizo au ni dogo sana......bukta za wanaume ni sawa kuanika nje. ..lakini nguo ya ndani ya Kike hapana kabisa
 
vipi wale ambao hawavai chupi ila wana vibukta vyao mbona wanaanika nje na hakuna ushirikina wowote izo mambo ni imani chonganishi tu
 
tatizo kubwa utakuta watu wengi wamependeza sana kwa nje ila swala la nguo za ndani aibu utakuta baba kavaa suti kali fulana ndani imefubaa imetoboka toboka soksi ndio usiombe vidole na visigino vipo wazi sasa iyo chupi du imechoka mbaya korodani zote zipo nje nakumbuka kitaa kuna dada alizimia ikabidi fasta atolewe nguo kujakuiona chupi huwezi amini imechoka kama gazate lilofuliwa na machine
 
Zangu nje suaniki ndani by now naenda kuloweka kesho nazifua natandaza kwenye kama chaaa mafunguz kiboo.. Kuanika chupi ndani ni uchafu na wengu zinakuwa na kaweusi pale kati wengine zimetoboka pale kati[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama una pair 10-12 za vyupi kwa uchache, baongelea pair siyo pc. Hali hiyo haiwezi kutokea. Tatizo watu wengi wana3 au2 pc. Unategemea nini? Unakutana na bibidada kaulamba vbaya,kapendeza mwenyewe! "mjaradue"ss! Utashangaa sana, kuwa yaani mtu kapiga "katambara ke'laki"nje, ndani gharama yake kutunzia ni ndogo, lkn marks sifuri!
Watu tunajisahau sn kujali na kutunza eneo la 'hub' kwa kuwa linaangaliwa na watu mahsusi tu kwako, kwasabab ushawazoea haujali, wala hauwaonei aib,kama unavyouramba nje mavazi ya laki, kuhadaa umma. Kumbe wewe ni bonge la mchafu kawaida kabisa yaani!
 
Km ulivyosema ni vizuri saana kuanika chupi kwenye jua. Ila kutokana na chupi kwa maadili yetu ya Kiafrika kuwa ni kitu cha aibu basi huanikwa ndani, Anika chupi ndani ila sehemu yenye hewa..Ikiwezekana kabla hujaivaa ipige pasi kidogo sio kwenye lastick bali zile sehemu za kati.

Pia si vyema sana kuanika chupi nche kwani baadhi ya binadamu waliomuhasi Mungu huzitumia vibaya. Unaweza pata gonjwa ambalo hujui aliyekupa. Adui yako huweza tumia chupi yako na ukaharibikiwa sana. Chupi ni kitu muhimu sana ni kitu cha kutunza sana. Kwa ambaye hajawahi kupatwa na mikasa hatoamini ila kwa aliyewahi ataamini.
dah mie uwa naanikaga nje tu ............
 
Naanika Nje Tu
1473281413054.jpg
 
Anika nje sehemu yenye jua na mwanga wa kutosha ikauke
 
Back
Top Bottom