Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Hii tabia huwa inanikwaza sana halafu ni ya wengi sana! Upo kwenye daladala unatoa simu ujibu meseji au kuanglia kama kuna jipya, sasa jirani yako bila aibu anakodolea macho kwenye simu utadhani inamuhusu!
Unaandika meseji yeye anafuatilia na kusoma unachoandika!
Tuweni wastaarabu jamani
Unaandika meseji yeye anafuatilia na kusoma unachoandika!
Tuweni wastaarabu jamani