Tabia ya kunusana harufu ya Pombe makazini Jumatatu ni unafiki na uzandiki usiofaa

Tabia ya kunusana harufu ya Pombe makazini Jumatatu ni unafiki na uzandiki usiofaa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Weekend inaanza Ijumaa na watu wanakuwa na stress za kutosha.

Mitundi ya kutosha ndo suluhu ya karaha za maisha haya ya kibongo. Leo hii Kg 1 ya mchele imefikia 3500, kodi za nyumba ndio kero maana miezi inakatika kama barafu inayeyuka.

Unakula mabia ya kutosha na uzuri unapiga Mackotail ya kila namna. Halafu Jumatatu unaamkia kazini na uzuri unapiga kazi vizuri tu. Ila ukuda ni kauli za wanafiki kazini eti vyombo vinatema.
 
Weekend inaanza Ijumaa na watu wanakuwa na stress za kutosha.

Mitundi ya kutosha ndo suluhu ya karaha za maisha haya ya kibongo. Leo hii Kg 1 ya mchele imefikia 3500, kodi za nyumba ndio kero maana miezi inakatika kama barafu inayeyuka.

Unakula mabia ya kutosha na uzuri unapiga Mackotail ya kila namna. Halafu Jumatatu unaamkia kazini na uzuri unapiga kazi vizuri tu. Ila ukuda ni kauli za wanafiki kazini eti vyombo vinatema.
Chupa imeamka na chai

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Weekend inaanza Ijumaa na watu wanakuwa na stress za kutosha.

Mitundi ya kutosha ndo suluhu ya karaha za maisha haya ya kibongo. Leo hii Kg 1 ya mchele imefikia 3500, kodi za nyumba ndio kero maana miezi inakatika kama barafu inayeyuka.

Unakula mabia ya kutosha na uzuri unapiga Mackotail ya kila namna. Halafu Jumatatu unaamkia kazini na uzuri unapiga kazi vizuri tu. Ila ukuda ni kauli za wanafiki kazini eti vyombo vinatema.
Ndo unakuta mtu anastaafu hana mbele wala nyuma, makazini inapaswa tuwaze yakwetu sio ya wengine
 
Back
Top Bottom