Tabia ya kusalimiana kwa kushikana mikono ina madhara makubwa sana katika ulimwengu wa roho

Tabia ya kusalimiana kwa kushikana mikono ina madhara makubwa sana katika ulimwengu wa roho

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
SALAM ZA KUSHIKANA MIKONO.

Usipende Sana kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu kupitia kushikana mikono huko utaibiwa nyota Yako watu wanauchawi huo ikitokea tu umeshikana mikono na mtu mwenye huo uchawi basi nyota Yako atakuwa ameibeba mtu huyo.

Kuanzia hapo mambo Yako utayaona yameanza kuwa magumu Sana na mipango kuhalibika kama ulikuwa na biashara wateja watakata au hata kama ulikuwa na mali unaweza ukafilisika kabisa kutokana na nyota Yako kuchukuliwa na mtu mwingine.

Na mtu akichukuwa nyota Yako huyo amechukuwa mfumo mzima wa maisha Yako na amekuharibia mfumo mzima wa mizunguko Yako kiufupi atakuwa kakuharibia mipango Yako yote ya kimaisha na wewe utakuwa umebaki ilimradi tu bora liende.

Mtu akikuchukulia nyota Yako wewe unabaki na ziro kabisa ila yeye Sasa aliyeichukuwa nyota Yako Sasa ataanza kufanikiwa kwa Kasi kubwa kwa sababu anatumia uwezo wako kwahiyo kuweni makini sana kusalimiana kwa kushikana mikono na sio Kila mtu lazima ushikane nae mkono wengine waache wapite.

Nadhani mwenye uelewa amejuwa ninachokiongea ni nini kwahiyo kuweni makini sana ndugu zangu.

watu wa kusalimiana kwa mikono wawe ni wachache tu mfano baba, mama, mke, watoto wako, boss wako...

nawatakia kheri katika utaftaji wa rizki

kazi na dawa
 
SALAM ZA KUSHIKANA MIKONO.

Usipende Sana kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu kupitia kushikana mikono huko utaibiwa nyota Yako watu wanauchawi huo ikitokea tu umeshikana mikono na mtu mwenye huo uchawi basi nyota Yako atakuwa ameibeba mtu huyo.

Kuanzia hapo mambo Yako utayaona yameanza kuwa magumu Sana na mipango kuhalibika kama ulikuwa na biashara wateja watakata au hata kama ulikuwa na mali unaweza ukafilisika kabisa kutokana na nyota Yako kuchukuliwa na mtu mwingine.

Na mtu akichukuwa nyota Yako huyo amechukuwa mfumo mzima wa maisha Yako na amekuharibia mfumo mzima wa mizunguko Yako kiufupi atakuwa kakuharibia mipango Yako yote ya kimaisha na wewe utakuwa umebaki ilimradi tu bora liende.

Mtu akikuchukulia nyota Yako wewe unabaki na ziro kabisa ila yeye Sasa aliyeichukuwa nyota Yako Sasa ataanza kufanikiwa kwa Kasi kubwa kwa sababu anatumia uwezo wako kwahiyo kuweni makini sana kusalimiana kwa kushikana mikono na sio Kila mtu lazima ushikane nae mkono wengine waache wapite.

Nadhani mwenye uelewa amejuwa ninachokiongea ni nini kwahiyo kuweni makini sana ndugu zangu.

watu wa kusalimiana kwa mikono wawe ni wachache tu mfano baba, mama, mke, watoto wako, boss wako...

nawatakia kheri katika utaftaji wa rizki

kazi na dawa
nadhani ni kwa wenye Imani haba na washirikina pekee 🐒

lakini kwa walio na Imani thabiti na wasio na Imani kabisa haina athari yoyote 🐒
 
SALAM ZA KUSHIKANA MIKONO.

Usipende Sana kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu kupitia kushikana mikono huko utaibiwa nyota Yako watu wanauchawi huo ikitokea tu umeshikana mikono na mtu mwenye huo uchawi basi nyota Yako atakuwa ameibeba mtu huyo.

Kuanzia hapo mambo Yako utayaona yameanza kuwa magumu Sana na mipango kuhalibika kama ulikuwa na biashara wateja watakata au hata kama ulikuwa na mali unaweza ukafilisika kabisa kutokana na nyota Yako kuchukuliwa na mtu mwingine.

Na mtu akichukuwa nyota Yako huyo amechukuwa mfumo mzima wa maisha Yako na amekuharibia mfumo mzima wa mizunguko Yako kiufupi atakuwa kakuharibia mipango Yako yote ya kimaisha na wewe utakuwa umebaki ilimradi tu bora liende.

Mtu akikuchukulia nyota Yako wewe unabaki na ziro kabisa ila yeye Sasa aliyeichukuwa nyota Yako Sasa ataanza kufanikiwa kwa Kasi kubwa kwa sababu anatumia uwezo wako kwahiyo kuweni makini sana kusalimiana kwa kushikana mikono na sio Kila mtu lazima ushikane nae mkono wengine waache wapite.

Nadhani mwenye uelewa amejuwa ninachokiongea ni nini kwahiyo kuweni makini sana ndugu zangu.

watu wa kusalimiana kwa mikono wawe ni wachache tu mfano baba, mama, mke, watoto wako, boss wako...

nawatakia kheri katika utaftaji wa rizki

kazi na dawa
Well said.
 
Vyote hivyo ni components za Ulimwengu wa roho
nilikua kwenye siasa huko vijijini, wanasiasa tulokua tunapambana kutafuta kiti ya uongozi, walikua na hiyo hofu na sensi ya kichawi, sijui nyota na kishirikina, mimi nilikua nikishangaa tu hiyo none sense Mungu akiwa amejaa ndani ya moyo wangu 🐒

inafika mahali ati wanakubaliana kabisa, kijiji fulani hapana kula chakula kuna uchawi sana, akati hapo ndio nyama zinachomwa kwa ustadi ile mbaya, halafu tunatafuta kura za wanainchi. sasa utawaongozaje na huku unahisi uchawi na wew ni muoga? Utaweza kweli uongozi 🐒

Mie nilikua namwambia Mungu, mimi nina njaa na kiu, nina hamu sana na nyama, hawa wachawi wananitishia uchawi, kwa ulinzi wako, Neema na Baraka zako, pamoja na wapiga kura ninakwenda kula nyama pamoja nao bila wasiwasi. Nisimamie 🐒

Niliwaombea wenzangu pia, Mungu ahuishe fikra na mioyo yao ilojaa hofu za kishirikina na kichawi, ili waweze kua huru kutafuna nyama pia, na walikula tu vizuri, na mpaka leo wako vizuri tu🐒
 
Kuna njia nyingi za kurogwa huwezi kukwepa kila kitu, usipomshika mtu mikono utaruka kitu, utakula kitu, utachotwa nyayo au kuibiwa nguo, umeweka picha zako mtandaoni watazitumia, utarogwa ata na uchawi wa macho nk...huwezi kukwepa uchawi na ushirikina kwa kukimbia...Jua jinsi ya kudeal na ushirikina na uchawi itakusaidia zaidi
 
Kuna njia nyingi za kurogwa huwezi kukwepa kila kitu, usipomshika mtu mikono utaruka kitu, utakula kitu, utachotwa nyayo au kuibiwa nguo, umeweka picha zako mtandaoni watazitumia, utarogwa ata na uchawi wa macho nk...huwezi kukwepa uchawi na ushirikina kwa kukimbia...Jua jinsi ya kudeal na ushirikina na uchawi itakusaidia zaidi
Noma sana, inasemekana km unaimani hvy uwe una tembea na mkaa au chumvi mfkoni mwa suruali, kwa watu km hao hawezi fanikiwa #over
 
SALAM ZA KUSHIKANA MIKONO.

Usipende Sana kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu kupitia kushikana mikono huko utaibiwa nyota Yako watu wanauchawi huo ikitokea tu umeshikana mikono na mtu mwenye huo uchawi basi nyota Yako atakuwa ameibeba mtu huyo.

Kuanzia hapo mambo Yako utayaona yameanza kuwa magumu Sana na mipango kuhalibika kama ulikuwa na biashara wateja watakata au hata kama ulikuwa na mali unaweza ukafilisika kabisa kutokana na nyota Yako kuchukuliwa na mtu mwingine.

Na mtu akichukuwa nyota Yako huyo amechukuwa mfumo mzima wa maisha Yako na amekuharibia mfumo mzima wa mizunguko Yako kiufupi atakuwa kakuharibia mipango Yako yote ya kimaisha na wewe utakuwa umebaki ilimradi tu bora liende.

Mtu akikuchukulia nyota Yako wewe unabaki na ziro kabisa ila yeye Sasa aliyeichukuwa nyota Yako Sasa ataanza kufanikiwa kwa Kasi kubwa kwa sababu anatumia uwezo wako kwahiyo kuweni makini sana kusalimiana kwa kushikana mikono na sio Kila mtu lazima ushikane nae mkono wengine waache wapite.

Nadhani mwenye uelewa amejuwa ninachokiongea ni nini kwahiyo kuweni makini sana ndugu zangu.

watu wa kusalimiana kwa mikono wawe ni wachache tu mfano baba, mama, mke, watoto wako, boss wako...

nawatakia kheri katika utaftaji wa rizki

kazi na dawa
Mawazo ya kishirikina haya. Mshirikina always huwa anawaza mambo ya kufikirika tu kama vile kurogwa etc
 
SALAM ZA KUSHIKANA MIKONO.

Usipende Sana kusalimiana kwa kushikana mikono kwa sababu kupitia kushikana mikono huko utaibiwa nyota Yako watu wanauchawi huo ikitokea tu umeshikana mikono na mtu mwenye huo uchawi basi nyota Yako atakuwa ameibeba mtu huyo.

Kuanzia hapo mambo Yako utayaona yameanza kuwa magumu Sana na mipango kuhalibika kama ulikuwa na biashara wateja watakata au hata kama ulikuwa na mali unaweza ukafilisika kabisa kutokana na nyota Yako kuchukuliwa na mtu mwingine.

Na mtu akichukuwa nyota Yako huyo amechukuwa mfumo mzima wa maisha Yako na amekuharibia mfumo mzima wa mizunguko Yako kiufupi atakuwa kakuharibia mipango Yako yote ya kimaisha na wewe utakuwa umebaki ilimradi tu bora liende.

Mtu akikuchukulia nyota Yako wewe unabaki na ziro kabisa ila yeye Sasa aliyeichukuwa nyota Yako Sasa ataanza kufanikiwa kwa Kasi kubwa kwa sababu anatumia uwezo wako kwahiyo kuweni makini sana kusalimiana kwa kushikana mikono na sio Kila mtu lazima ushikane nae mkono wengine waache wapite.

Nadhani mwenye uelewa amejuwa ninachokiongea ni nini kwahiyo kuweni makini sana ndugu zangu.

watu wa kusalimiana kwa mikono wawe ni wachache tu mfano baba, mama, mke, watoto wako, boss wako...

nawatakia kheri katika utaftaji wa rizki

kazi na dawa
jukwaa la ujasiliamali,uchumi na biashara
 
Noma sana, inasemekana km unaimani hvy uwe una tembea na mkaa au chumvi mfkoni mwa suruali, kwa watu km hao hawezi fanikiwa #over
Wanasema inafanya kazi ila huo nao ni ushirikina ndugu, ukishaanza kuchungulia giza na giza linaanza kukuchungulia wewe...ukianza mkaa, sijui ndulele ili ujilinde siku umesahau utaona mambo yanavyokuendea vibaya kuliko hapo mwanzo
 
Back
Top Bottom