Tabia ya vodacom kichukua hela ya muda wa maongezi bila idhini ya mteja na kituma ujumbe "samahani umefanikiwa kununua tiketi lakini hukiweza kishinda

Akili zangu hazipo sawa

Senior Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
160
Reaction score
119
Kama umewahi kukumbwa na kitu kama hiki karibu tushauriane nn tatizo la huu mtandao au ndo namna ya kujiongezea kipato chao
 
Alafu bahati mbaya sms zao hazifai kureply!

Ningewatukana hadi wakome
 
Nina mpango wa kuwafikisha mahakamani bado nashauriana na jopo la mawakili wasomi juu ya hawa Vodacom
Soon ntakua nao kwa court
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…