We hutakiwi kuweka masharti bwana, we shida yako si mke?? Basi tulia niachie kazi.Hahah usiniuwe sana mapema ikitiki zitaongezeka pia...
Easy Easy mama mkwe tatizo moyoo moyoo....We hutakiwi kuweka masharti bwana, we shida yako si mke?? Basi tulia niachie kazi.
Moyo umefanya nini tena?Easy Easy mama mkwe tatizo moyoo moyoo....
Huoni haya wewe unadiscuss?Toka nifike Dar-es-salaam kutika Arusha ,kitu kilichonishangaza na kuona kiinyaa ni Tabia ya Wanaume Wa Dar-es-salaam kukaa Chini Na kuanza kudiscus mara sijui Wema kafanya Hivi ,Mara Jokate kafanya Lile ... yaani inakera inakera ..na unayakuta kabisa na Midevu yao na inabishana mpaka yanatokwa na Mapovu Mdomoni ..Shame on you .. stop that .
Alinikosea heshma tu,nilimuangalia sikumjibu.Unajua ni kwanini alikuuliza wewe hakuuliza wengine?? Angalia unavyojitengeneza sura yako. Shauri zako.
arusha mnajua kunywa viroba, kuvuta bangi nyingi kali, vivaa jinsi zinazobana..na kunyoosha vidole viwili juu vya kile chama..kweli ng'ombe ni ng'ombe tuu hawezi kula nyama..discuss Ujinga kama huo ... Yaani kunikuta Nadiscuss Mimba ya Wema ... Dooooh . ...Sijawahi ona hii kitu ...nadhani nashangaa kutokana ma Historia ya Mkoa wangu . Arusha hakuna hii kitu aisee .
Hahahahaha. ...aisee umejua kunichekeshaMleta mada una stress za maisha.
mkuu bibi yangu alishatangulia zamani...... Wa bibi yako!
Waulize wanaume wa dar[emoji85] [emoji85] [emoji85]Wema ndio nani?
Kwahiyo ulichodeal nacho hapa ni point?Watu Wa dar....wana maisha Magumu.,...coz they are dealing with pointless issues..
Mbona povu linakutokaKwahiyo ulichodeal nacho hapa ni point?
Umeanza lini tabia ya kupiga chabo?Mbona povu linakutoka