Tabia ya Watanzania kupenda michango

For sure mkuu ni mentality mbaya sana ...Ila kwa wazembe hawawez kuelewa
 
NILISHAWAHI KUTEMBEA NA HELA YA MCHANGO WALIYOTOA WATU
NILIJIPATIA NAULI NKATAMBA,NYUMA NLIWACHIAA VILIOOOO

OVA
 
Siku hizi mpaka makanisani watu wanapangiwa kiasi cha kutoa na utoaji wako ukiwa hauridhishi utajua kwa nini Yesu ni Bwana!.
Ha ha ha ha [emoji23][emoji38]
 
🤣
 
Ulichoandika ndicho nami nakifanya, nachangia sana matatizo kama misiba au ugonjwa ila sherehe sijawahi kuchangia kabisa. Uko sahihi mkuu na najifeel good kuona tupo wengi kumbe.
 
Naked truth, umesema kitu cha ukweli kabisa mkuu. Pata like yako
 
Mfano hii michango ya harusi imeshachosha sana.

Waoaji au waonaji wapya, badilikeni kidogo. Andaa shughuli ndogo kabisa gharamia, usafiri wako, mavazi yenu, gharama za ukumbi mdogo, then alikeni watu waje kuwapongeza kwa zawadi mbali mbali, huo ndiyo uungwana. Watu wa karibu tu.

Ikitokea zawadi ni nyingi na zenye thamani kuliko gharama mlizotumia kuandaa shughuli basi tutasema shughuli yenu ilikuwa na mafanikio makubwa.

Maisha yamekaba punguzeni hizi mambo za michango isiyo ya lazima, tubadilike sasa!!
 
Setting ikoje hiyo nami nifanye? Yani juzi kuna mtu nimempa namba kesho yake tayariii nipo group sijui jumuiya ya mtakatifu gani tayari anaomba michango nikabaki...,😳
Angalia kwrnye setting yako nenda privacy
 
Juzi kulikuwa na harusi ya mtangazaji fulani
Basi hiyo michango ilikuwa balaaa

Sasa ukiangalia mpaka sahv mshafanya harusi mmetumia mamilion,what's next?

Ova
 
ila kweli kule kwenye kitochi hufuatwi hovyohovyo
Saana wanaunganishana kwenye wasapu na kukumbushan kwenye wasap pia. So ukiwa na kitochi unateleza tu mpaka mtu akukumbuke sio leo wala kesho
 
Weka setting wasap ambayo mtu hawez kukuunga tuu na grp kiholela..tangu nmelijua hilo lawama zimekua nying..et oooh mbona hatuwez kukuunga kwenye grp kiongoz.nawambia aisee hata mim sjui kwann...hahahahah
 
Weka setting wasap ambayo mtu hawez kukuunga tuu na grp kiholela..tangu nmelijua hilo lawama zimekua nying..et oooh mbona hatuwez kukuunga kwenye grp kiongoz.nawambia aisee hata mim sjui kwann...hahahahah
Ndio utuelekeze vizuri tuweze kujua mkuu....ukisema juu juu sio kila mtu anajua.
 
Niliacha kutumia smartphone sababu ya haya ma group ya michango.
 
Mimi ukiniunga group naleft hapo hapo. Kuna siku nashtukia nimeungwa kwenye group la niliomaliza nao sec nilileft within a second.
Hehehe kwenye setting kiboko yao hakuna kuungwa hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…