Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

MTU ni masikini ana watoto kadhaa wenye wajukuu lakini Bado eti na yeye analea katoto kachanga.

sexless hawa watu inapidi wasemwe Sana
 
Mkuu mleta Mada inaelekea umetoka kwenye kikao kujadili population ya tz,
Ni tz kuna watu wengi Sana. Hawana faida Kwa uchumi wa Nchi,
Angalia kipindi cha campaign CCM ikiwasomba watu rundo kwenye Malori, kwenda viwanjani,
CCM iko madarakani Kwa Sababu ya watu wengi wasiokuwa na faida nchini.
Angalia waalimu wanaisaidia CCM kushinda Kwa wizi wa kura Kwa malipo ya laki na nusu Tu 😂.

Sina cha kuongeza hapo mkuu.
 
Sawa Tajiri kwa hiyo unatushaurije ?

Nyerere alisema, maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Mambo hayaji kwa bahati nasibu. Hilo lazima watanzania tujue. Hakuna mtoto anayekuja na riziki yake.

Huo ni upotoshaji. Hata leo hii ukienda hospitali ya Mwananyamala utakuta watoto wengi wamezaliwa. Lakini hutaona wazazi wakija na fuso ili kupakia na kuondoka nazo riziki zilizoletwa na watoto waliozaliwa.
 
Hujanielewa mkuu, kwa vile hao mashoga hawawezi kazalishana.tena bora sisi wenye uwezo tupige kazi maradufu kuziba gepu la hao ambao wameleft.
Idadi ya hao uliowataja vs wanaozaa. Wanaozalisha ni wengi mno , uliowataja ni kama 1% tena wanajificha.

So sera za nchi lazima zibadilike, or else serikal itashindwa kuhudumia jamii kutokana na ongezeko lisilo na control
 
Kwa mwendo huu hakuna rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote??

Unakuta bodaboda ana watoto 6?? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasbb watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dr. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa na idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto. Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
Watoto ni baraka, ukitaka kujua hili ao halafu ukose mtoto miaka 5
 
Kuna wale ambao wanasema kila mtoto anakuja na riziki yake. Hao ndiyo adui wakubwa sana wa nchi hii.

Wanafunika kichwa, huku wamevaa visuruale vilivyobana matako.
Acheni uvivu fanyeni kazi na familia zenu mtazimudu bila kutegemea serikali.Ila mkiwa wavivu mtalalamikia kuzaa ovyo na umaskini hautapungua bila kuchukua hatua stahiki za kufanya kazi kwa bidii na kuheshimu uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
 
Idadi ya hao uliowataja vs wanaozaa. Wanaozalisha ni wengi mno , uliowataja ni kama 1% tena wanajificha.

So sera za nchi lazima zibadilike, or else serikal itashindwa kuhudumia jamii kutokana na ongezeko lisilo na control
Rukwa hakuna idadi kubwa ya watu na Serikali imeshindwa kuihudumia vizuri.
 
Daaah nchi ngumu
Kwa mwendo huu hakuna rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote?

Unakuta bodaboda ana watoto 6? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasbb watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dkt. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa na idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto.

Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
 
Idadi ya hao uliowataja vs wanaozaa. Wanaozalisha ni wengi mno , uliowataja ni kama 1% tena wanajificha.

So sera za nchi lazima zibadilike, or else serikal itashindwa kuhudumia jamii kutokana na ongezeko lisilo na control
Mojawapo ya njia zilizobuniwa na wazungu kudhibiti ongezeko la idadi ya watu ni kupromote ushoga.
 
Back
Top Bottom