eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
''Sweden's area is approximately 410,340 km2 (158,433 sq mi), while the area of Tanzania is approximately 885,800 km2 (342,009 sq mi). This means Tanzania is 2.16 times bigger than Sweden''
chanzo: embassies.net
Watu ndio taifa, bila watu hakuna taifa; vitani wanatakiwa watu + teknolojia
Mbona mnaendelea kuwa na uelewa wenye makosa kuhusu watu na maenedleo ya nchi? Ndiyo Nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji watu. Lakini mimi nawaambieni leo, siyo kila mtu ni rasilimali kwa nchi. Wengine ni mzigo. Hili hatutaki kuliongelea tukidhani kwamba ni kuwa na dharau na kuto wajali wengine. Ni ukweli kwamba nchi za Afrika zina idadi kubwa sana ya watu wasiojielewa.