Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

Wacha watu wazae vije vizazi vipya vya kuikomboa Tanzania Kama China na Nigeria. Sio kizazi hichi cha Simba na yanga pumbavu zako mwana Ccm wewe.
Hakuna kitu kama hicho. Watoto wa familia za hovyo kama hizo huishia kuwa mateja, vibaka na walevi tu. Mwisho wa siku taifa litatumbukia kwenye mkondo wa taifa la Haiti
 
Wewe mwenzetu mwenzetu mwenye utajiri wa Mali shukuru Mungu sie masikini utajiri wetu amani na watoto
Ukiwa na watoto 6 halafu wanalala chini tena bila kula utaishia kuwa na mateja, vibaka na walevi. Hatimaye utabakia mpweke kwasbb wengi watauawa kwa kuchomwa na matairi na wengine kuambulia kifungo cha maisha.
 
Hawa ni kwenye kituo cha kulelea watoto yatima, acha kupotosha.
Screenshot_20240611-131157.png
hata wazungu bana walizaliana zamani mno. Cheki uwingi wa watu India walipo how about Nigeria and china. Watu are resources too Kama hujui Kuna human capital/resources
 
View attachment 3017188hata wazungu bana walizaliana zamani mno. Cheki uwingi wa watu India walipo how about Nigeria and china. Watu are resources too Kama hujui Kuna human capital/resources
Sasa unaleta mifano ya 1901, enzi za neema, wakati ardhi bado bikra? Mbegu ikidondoka chiini inazaa mazao mengi mpk unauza ziada?
 
Kwa mwendo huu hakuna rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote??

Unakuta bodaboda ana watoto 6?? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasbb watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dr. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wakuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipaswa Kodi 2M !!!
Ndugu zangu bodaboda njooni kuna jambo la kujadiliana humu,ila pia karibuni na wengine mnao hisi pia mmeshushiwa rungu la kichwa na ndugu yetu hapa ,hata kama sii bodaboda🤔
 
Sasa unaleta mifano ya 1901, enzi za neema, wakati ardhi bado bikra? Mbegu ikidondoka chiini inazaa mazao mengi mpk unauza ziada?
Enzi hizo walikuwa Kama hapa kwetu na baadhi walikuwa wameshadogea katika mawazo yako. Ama huelewi sie tuko nyuma mno kwao.pia Kama hizo ardhi zipo bado,huko katavi Kuna mapori hayajawahi limwa since creation na huko congo msituni Kuna miti haijawahi kukatwa tokea kuumbwa . Ni wewe tu huko kwao Kila mahala Kuna zege
 
Hakuna kitu kama hicho. Watoto wa familia za hovyo kama hizo huishia kuwa mateja, vibaka na walevi tu. Mwisho wa siku taifa litatumbukia kwenye mkondo wa taifa la Haiti
Hayo Madawa ya kulevya si baadhi ya hao viongozi Wana wakumbatia waingizaji madawa nchini. Na Mtaani tuna wajua kwa nini wasikamatwe. Kama Chiko, Mzee mtamamchungu wote wapo mtaa mmoja pale magomeni kwa bibinyau.
 
''Sweden's area is approximately 410,340 km2 (158,433 sq mi), while the area of Tanzania is approximately 885,800 km2 (342,009 sq mi). This means Tanzania is 2.16 times bigger than Sweden''
chanzo: embassies.net

Watu ndio taifa, bila watu hakuna taifa; vitani wanatakiwa watu + teknolojia
 
Kwa mwendo huu hakuna rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote??

Unakuta bodaboda ana watoto 6?? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasbb watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dr. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto. Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
usipangie watu Jinsi ya kuishi
 
Hayo Madawa ya kulevya si baadhi ya hao viongozi Wana wakumbatia waingizaji madawa nchini. Na Mtaani tuna wajua kwa nini wasikamatwe. Kama Chiko, Mzee mtamamchungu wote wapo mtaa mmoja pale magomeni kwa bibinyau.
Mbona unatoa siri sasa?
 
Back
Top Bottom