Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

Kwa mwendo huu hakuna rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote??

Unakuta bodaboda ana watoto 6?? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasbb watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dr. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto. Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
Kwanini awe bodaboda? Tuanzie hapo, kwanini hafanyi kazi kiwandani alipwe milioni kuanzia, 15M mpaka 26M kwa, mwaka?
Hao, watoto sio, shida,
Chanzo ni ccm, badala, ya, kujenga, viwanda wananunua v8, moja ni milioni 400!
 
Basi Tanzania ilipaswa kuwa na watu 32M (mara 2.16 ya Sweden) na siyo 60M karibu mara 4 ya Sweden.

Mkuu tukubali tunakosea kuzaliana hovyo.
Mapori ni mengi kuliko idadi ya watu; pia tunakoelekea idadi ya uzao itapungua sana kutokana na vijana kutokuwa na uwezo wa kuzaliana huko mbeleni, itakayo sababishwa na unywaji wa pombe kali pamoja na kurithi tamaduni za nchi zingine, mfano mahusiano ya jinsia moja n.k​
 
Huyo boda mwenye watoto sota Kuna shoda wewe Mleta mada ndie unawalisha na kuwavisha? Alishawahi kuja kukuomba chochote?

Inataka wafanyabiashara wanbidhaa za watoto zife au? Watu wasipozaana biashara zao zitakufa.Wacha wazaane tu hamba shida ili.mradi hawajikombi Kwa mtu awalishe au awavishe
Purchasing power ya familia za hivi ni almost zero. Mtoto mpaka anafikisha miaka 7 kavaa nguo 2 tu tena za kupewa na majirani. Kuna wanunuzi hapo. Halafu wanakuja kuwa wadokoi na vibaka mtaani.
 
Kwanini awe bodaboda? Tuanzie hapo, kwanini hafanyi kazi kiwandani alipwe milioni kuanzia, 15M mpaka 26M kwa, mwaka?
Hao, watoto sio, shida,
Chanzo ni ccm, badala, ya, kujenga, viwanda wananunua v8, moja ni milioni 400!
Mkuu dawa ni kupunguza kuzaa. Viwanda vya siku hizi siyo siyo labour intensive ni hightech. Computer tupu na roboti kidogo.
 
Hawa ndiyo wezi, na ndiyo vibaka mtaani.
Unaweza ukazaa mtoto mmoja na akajakuwa mwizi au kibaka. Na unaweza ukazaa watoto saba na wote wakapata mafanikio na kushiriki kujenga uchumi wa nchi, wao binafsi na wa watu wao wa karibu. Life is not a black and white thing, kuna gray n.k.
Anyway kila mtu ana mawazo yake na circumstances zake alizo/anazopita katika maisha.
 
Unaweza ukazaa mtoto mmoja na akajakuwa mwizi au kibaka. Na unaweza ukazaa watoto saba na wote wakapata mafanikio na kushiriki kujenga uchumi wa nchi, wao binafsi na wa watu wao wa karibu. Life is not a black and white thing, kuna gray n.k.
Hii Sasa unaongelea "ana ana doo". Lkn ukweli mtoto anapaswa kuandaliwa vema tangu akiwa tumboni, kwa kupewa lishe bora ili aje kuwa na akili, kisha aweze kupambana vema na maisha. Kinyume na hapo ni kujidanganya.
 
Dr. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!
Duh! Takwimu zinatisha

Uwezo wa kuzaa unatakiwa uendane/uzidiwe na uwezo wa kutafuta na kupata kipato
 
Moja ya factor ya driver ya uchumi ni population,na Tanzania tuna rasilimali zinazoendana na population hata ikiongezeka mara 3.
Shida ni usimamizi wa rasilimali hizo kunufaisha jamii husika.

Ingawa at individual level kwa Tanzania ambapo rasilimali zinatumiwa hovyo na Watawala-Idadi kubwa ya watoto ni shida sana,labda uamue malazi,chakula,matibabu,na shule viwe vya level ya chini.
 
Kwa mwendo huu hakuna rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote??

Unakuta bodaboda ana watoto 6?? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasbb watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dr. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto. Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.

Kuna wale ambao wanasema kila mtoto anakuja na riziki yake. Hao ndiyo adui wakubwa sana wa nchi hii.

Wanafunika kichwa, huku wamevaa visuruale vilivyobana matako.
 
Kwa mwendo huu hakuna rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote??

Unakuta bodaboda ana watoto 6?? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasbb watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dr. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto. Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
Uko sahihi kabisa, kuna jirani yangu hapo ni bodaboda, anaishi kwenye ibada cha mlinzi wa siye na ana watoto wengi sana mpaka nashindwa kujua humo ndani walala kivipi kwani wengine wamekuwa wakubwa. Maskini na wajinga wengi wa nchi hizi faraja yao ni katika ngono zembe na ndio maana huko uswazi utakuta vitoto vimejazana kwenye mabanda
 
Back
Top Bottom