Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

Tabia ya Watanzania ya kuzaa hovyo ndiyo chanzo cha umaskini. Bodaboda ana watoto sita! Hata Serikali inashindwa kupanga mipango

Kwa mwendo huu hakuna Rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote?

Unakuta bodaboda ana watoto 6? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasababu watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dkt. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa na idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto.

Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
Kwa akili zako hizi, nakuapia utafika mbinguni umetepweta.

Kiufupi, umevurugwa.
 
Ukitaka maskini akung'ate ng'ate basi mwambie apunguze spidi ya kuzaa na ukichunguza mimba za maskini inashika kiurahisi balaa utasema zinaambizana.

UpUtaskia tu vikauli vyao "huyu ndio mwigulu wa kesho" ukiona watoto vitambi vya kwashakoo ila ndio vinavyoongezewa wadogo zao.Kweli umaskini ni laana.
 
Unajua nature ya pupulation zao au unaropokwa tu.
Usinilazimishe kuamini unachokijua hata kama kina faida kwako.Mimi siamini katika ujinga wa kuwa na watoto wawili ambao hauna faida kwangu.Mimi ni mjamaa ndiyo maana siamini katika kuzaa watoto wachache.Tumeona hasara yake kwa sisi wajamaa,kwanza Ushoga ni chanzo cha sera hizi za kuwa na watoto wachache,pili tunakoelekea thamani ya mwanaume itaendelea kushuka kwa sera hizi.Siku moja Putin aliwaasa Wanawake nchini kwake wazae sana na atawalipa mishahara kama watazaa sana ina maana wanaume wa huko hawana ngu za kuzaa.Yote haya yanatokana na mashinikizo ya kiuchumi,kielimu,kisiasa katika kugandamiza baraka ya Mwenyezi Mungu.(Mwanzo 1:26-29).
 
Kwa mwendo huu hakuna Rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote?

Unakuta bodaboda ana watoto 6? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasababu watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dkt. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa na idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto.

Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
Bora huyo anaingiza japo elfu 20 kwa siku

Yupo mtu hata elfu 2 kwa siki haingizi na ana watoto Nane.
 
Ukisoma kitabu cha "Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania 1960-1964" Dr. Paul Bjerk ameandika jinsi serikali ya kwanza kabisa ya Nyerere ilipojitahidi kufanya mipango mizuri sana ya maendeleo, lakini tatizo likawa kuwa serikali haikuangalia ongezeko la watu.

Mipango ya miaka mitano ikikamilika, inakuwa haijamaliza tatizo, kwa sababu by the time miaka mitano inaisha, idadi ya watu ineshaongezeka na kuipita sana mipango.
Nitakitagfuta hiki Kitabu.
 
Kwa mwendo huu hakuna Rais atakayeweza kuumaliza umaskini wa nchi hii.

Ili twende sawa nitoe tafsiri ya umaskini kwa mujibu wa IMF:- umaskini ni hali ya kukosa huduma za afya/maji, chakula, elimu na mahala pazuri pa malazi (nyumba bora).

Kwa tafsiri hii, na kwa uzazi holela wa hapa nchini, ni lini kila mtanzania atakuwa na uwezo wa kuwa na nyumba bora, uwezo wa kupata huduma za afya aitakayo kwa bima ama fedha yake, uwezo wa kupata milo 3 bila shida yoyote?

Unakuta bodaboda ana watoto 6? Mama ntilie, machinga na barmaid eti nao wana familia kubwa? Nchi hii tunaenda wapi? Watu waelimishwe kuwa, siyo kila mtu lazima azae. Watoto siyo asset kwamba utakopea mkopo.

Serikali ikijenga shule ama zahanati, miaka 2 tu zimezidiwa na idadi ya watu. Hata madawati yanakuwa tatizo kila mwaka kwasababu watanzania wanafyatua watoto mno. Hakuna kitu kinawezekana bila family planning.

Dkt. Slaa alipokuwa balozi Sweden alisema "Tanzania na Sweden zilikuwa na idadi sawa ya watu mwaka 1961 (milioni 9 kila moja). Hivi sasa Sweden ina watu 15M, wakati Tanzania ina watu 60+M". Hii ni hatari.

Kwa ujinga huu wa kuzaa hovyo umaskini hautatuachia. Watu milioni 60, walipa Kodi 2M !!!

Itungwe sheria, mtu akitaka kuzaa aweke milioni 10M benki kama dhamana ya malezi bora ya mtoto.

Vinginevyo, shika, peleka akafungwe.
Mkuu,
Hii nchi Ni
DEPOPULATED
WEWE KAMA NI MWANAUME NA UNAJIWEZA JITAHIDI KUZALISHA (KUPANDILIA) KADRI UTAKAVYO WEZA HII NCHI INAITAJI RASILIMALI WATU IN THE LATE JPM VOICE
 
Kuna mama niliona ana watoto 8 anamlilia Makonda amsaidie kuwalea 😄

Sasa unapiga mtoto wa kwanza mpk wa 8 unategemea nani aje awalee? Mwanaume akiona yamemzidi anakula kona 😄😄

Badae unailaumu serikali Maisha magumu 🙆🙆
 
Kwani maisha ni pesa tu????Sema tumesahau wajibu wetu na malezi bora kutoka kwa wazee wetu ndiyo maana tunalalamia jambo moja wakati shughuli za kufanya ni nyingi na mahali pa kuishi ni pengi.
Hakuna, ni uongo.....hao unaoita wazee wenu ndio wametufikisha hapa na hii dhana ya kuzaa hovyo bila mipango wala mwelekeo ni utamaduni kutoka kwa wazee hao hao.
 
Kuna mama niliona ana watoto 8 anamlilia Makonda amsaidie kuwalea 😄

Sasa unapiga mtoto wa kwanza mpk wa 8 unategemea nani aje awalee? Mwanaume akiona yamemzidi anakula kona 😄😄

Badae unailaumu serikali Maisha magumu 🙆🙆
Huo ni upumbavu.Kwani bila Serikali hawezi ishi???Huo ni udhalilishaji wa ubinadamu wake.Tatizo ni kupenda ngono boila kufanya kazi.Kama mtu anawajibika hawezi lalamikia Serikali yake.
 
Kuna mama niliona ana watoto 8 anamlilia Makonda amsaidie kuwalea 😄

Sasa unapiga mtoto wa kwanza mpk wa 8 unategemea nani aje awalee? Mwanaume akiona yamemzidi anakula kona 😄😄

Badae unailaumu serikali Maisha magumu 🙆🙆
Tz ibaki kuwa ya wananchi wa ccm tu, maana hakuna namna. Akili zao wanazijua wenyewe.

Mtu ana mimba analeo from Day One hadi Miezi 9 ila hana hata laki moja ya akiba ya kumsaidia wakati wa uzazi.
 
Back
Top Bottom