Element za kujikomba sikujaaliwa kua nazo, na hua spendi mazoea ya kjingakjinga.
1st time wakat naanza form one, tulkua tnafndshwa na wahindi. Walikua na utaratb wa kua na "papets" kila darasa waluwapelekea siri za wanafnzi wengne & hao papets walkua wanapewa vizawadi, vyeo na vitengo vizuri "indirectly"
Sku moja mvua inanyesha wakaniita wakanpa mchongo wote & kaz ya kwanza waliyonpa ni kuandika swahili speakers kila jmos niwe napeleka majina atlest 20 kwa siri.
Nlichokfanya nkawa naandika jina langu pamoja na majina mengine manne ya watu ambao ni most suspected pupets. Baada ya wiki wakaniambia imetosha niache, nkacheka sana.
Hicho kitu kilnifnya nkaish maisha magum sana pale shule, sabab wale watu wanataka ujipendekeze kwao, uwasnitch wanaofanya magendo ndo wakuone ni mwema, kitu amcho skuwahkfanya.
Mpka namaliza form 4 nlikua na suspension mbili kwa makosa mepes sana & nlifukuzwa july nkaja kfnya NECTA tu. Skuona shida ata kdogo.