Tabia yangu ya kutojipendekeza, kusujudia maboss na kutokuwa mfitini inanisotesha mtaani

Sio ofisin kwenu, ofisi karibia zote za kibongo ziko hivyo maboss wenyewe wanapenda kunyenyekewa na kupelekewa umbeya

Kuna ofisi moja mke wa bosi anafanya kazi sehemu nyingine, lakin anajua maisha binafsi ya karibia wafanyakazi wote
Daaah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hii dini ni kweli ni ndugu zetu ila kwa kuchongeana wako vyema, anzia ngazi za familia,ukoo hadi majirani ni uongo uongo tu hadi wanaume sijui wana tatizo gani hawa jamaa.
Dini gani hiyo na ile Iwe ni facts Basi NI wanadini hao wangapi umekutana nao,WAKIWA na background zipi tofauti?elimu zao?vipato vyao?Mahali wanapoishi?race zao?

Otherwise usije ukawa unajiongelea experience yako binafsi mbele ya halaiki ya watu ambao nao wanaexperience zao.


Waafrika tunapenda Sana UTOPOLO wa DINI.

Kalaghabaho
 
Zwazwa huyo ni wale waafrika wanaopenda ufulafula wa dini na kuangalia KILA Jambo kwa utopolo wa hizo DINI....
 
Duuuh hatariπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Mengine nimekuelewa,lakini hata kutamka bosi ni msamiati mgumu Kaka?looh kweli una EGOπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ninaamini hata humu JF hujawahi kumwita mtu "mkuu"πŸ˜‚πŸ˜‚.

Peace
 
H High School na Chuo hukukutana nayo utuhadithie pia?!!
 
Nikishakula Ganja zangu nikashiba na ugali nimelala kwenye mkeka na nina afya.Nitafanya kazi kwa bidii na kuheshimu anayefaa kuheshimiwa kujipendekeza No way RASTA.
 
unauliza kama umekatika kichwa, unauliza wangap kwani nikikwambia 20 utakuwa na uhakika gani ama majibu yangu utayapima vipi? kama ya kweli ama laaah

kwani dini ile we umejua ni dini gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…