New york City
Senior Member
- Jul 24, 2020
- 175
- 567
Ukitaka kuwajua, waajiri hawa wote kati yao utawaona tu wanajitokeza, mmoja wapo yule aliye enda kusalimia akatimuliwa!!Kila mtu hapa kasema kujipendekeza hawezi now nani anaweza? Ila jf bwana
Heri yako umekua mkweli!!?kwenye kujipendekeza kwa kuchongea wengine siwezi ila kusifia mtu nipo vizuri..nakumbuka nipo chuo nilikosa test moja ya DBMS halafu mwaka wa mwisho...Dokta alikuwa anafundisha soma ilo alikuwa mtata sana ana anajulikana sana kwa sifa ya kushika watu..niliendea nikiwa nimejipanga kweli kweli nalianza kwa kumuita dokta nyingi sana na kumsifia sana kwamba sijapata kuona mwalimu kama yeye tangu nizaliwe nikimuuliza kwanini hakuenda havard kwa siyo level ya nchi hii kabisa....mwisho kabisa nilipewa maksi mbili nikiwa na lengo huwa najipendekeza sana mpaka kieleweke
wewe ni rastafari??..Kwenye hili tupo wengi, daaah Jah atusaidie tyuuuuh.
Acha kuendekeza udini 'braza'Swala la mabosi kupenda umbea Lina vi element vya udini Ndani yake.
Kuna watu wa dini fulani kutwa wao Ni majungu, fitina na umbea
Dini gani nimeiendekeza. Hebu elezea mkuuAcha kuendekeza udini 'braza'
Kila mtu hapa kasema kujipendekeza hawezi now nani anaweza? Ila jf bwana
Kwa muda niliokaa jf iko hivi... First comment ina impact kwa comments zifuatazo. Usitarajie kuna mtu atakuja kusema yeye ni fundi wa kulamba viatu.JF ina members 500K+
Hadi kufikia hii comment yako huko juu hawajafika hata members 20 waliocomment....sijui unamanisha nini kuandika kila mtu hapa kasema,yani wewe bhana!!
kuna mazee mengine uku yanakarbia kustaafu ndio machawa kwenye bodi., Nkajfanya kichwa ngum ctetemekei mtu m na harakat zangu kilchonkuta N mwaka sasa cna majukum unatakiwa kusain na kukaa tuMi navyojua kaz za serekalini huko ndo huwa hazihitaji kuwa chawa wa boss maana Kuna sehem husika unaweza kupeleka malalamiko yako ikiwa kiongoz wako anakufanyia mambo ambayo siyo sawa.
Tofaut na sekta binafsi inatakiwa uwe chawa wa boss kwel maana akikasirika tu kazi huna na huna cha kumfanya....
Doooh kumbe hali haipo hivyo?