sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Mkuu cha msingi huvunji sheria wala kusemea unafki wenzako sioni shida.
Mfano kwenda kumsalimia boss wako kuna shida gani?
Kwanza hapa kila mtu anasema hajipendekezi ni waongo🤣🤣🤣
Hahaaa sio wote bhana.