Tabia yangu ya kutojipendekeza, kusujudia maboss na kutokuwa mfitini inanisotesha mtaani

Tabia yangu ya kutojipendekeza, kusujudia maboss na kutokuwa mfitini inanisotesha mtaani

Ghwee bhututu ughwe
76771519_618171332255722_4684460713089957888_n.jpg
WEE JAMAA NDEGE NILIMUONA ZAMANI SANA TARIME NIKIWA NA MIAKA 7, SIKUMUONA TENA HAPA DUNIANI JINA LAKE HIVOHIVO! NITARUDI
 
Katika maisha au kazi, tofauti na elimu ya darasani ambayo ndio wengi huitumia kama kigezo yatupasa kujua kuna kitu kinaitwa Skill. Kila mtu amepewa kwa kadiri ya karama yake, changamoto huwa ni jinsi ya ku identify. Makazini asilimia kubwa wenye skills zifuatazo huwa ni ngumu kujikomba; Integrity; Communication skills; team working; business acumen (good judgement and quick decision); experience; qualifications; self confidence.

Asilimia kubwa ya wanaojipendekeza wengi wana lack mengi ya hivo, na haya mambo hushamiri sana kwenye ofisi na makampuni ya kibongo. Huwezi kuta huu ujinga wa kujipendekeza kwa wenzetu wazungu maana kwao wanajali sana muda na performance basi. Wao wana deal na wewe mwajiriwa kwa target basi, ukishindwa kudeliver basi off you go pasipo kinyongo.

Na ndiko watu wanapiga mzigo hasa, Ofc za kibongo ukiwa mpambanaji sana na unatimiza wajibu wako tayari unaonekana ni tatizo, hatari kwa watu, basi majungu ni mengi sana.

From experience, kuna tofauti kubwa sana katika utendaji kazi baina ya Ofc za kibongo na wenzetu. Wengi umbeya kwao ni skill ilhali wengine kwao sio
 
Kuna mtu bidada aliniambia anafanyaga huo UPUUZI wa kujipendekeza kwa Boss kufikia hadi kuleta zawadi mbali mbali na kunishauri eti bami niuanze.

Nikamwambia I have too much PRIDE to lower my standards to that level, but if you are comfortable doing that all powers to you.

Urafiki ukapungua sana na hata kunitafuta akaacha. Mie nachapa kazi tu vile inavyostahili lakini mambo sijui ya kujikomba kupeleka zawadi etc siwezi kuyafanya wala SITAKI kuyafanya.

Hii kauli muhimu sana.

Wakati naanza kazi Unyamwezini, kuna ofisi nilikuwa nafanya, bosi mtu poa sana nilimuona. Yuko focused kiaina, lakini very approachable.

Sasa siku moja nikaamua kumtembelea ofisini kwake, a sort of "management by walking around",maana kuna watu wengine wanaweza kuwa na issue hawakufuati, lakini ukiwafuata, wanakueleza issues zao.

He, basi nilivyomfuata ofisini kwake, tena wala si kwa nia ya kujipendekeza-I have too much pride for that- ila kumsalimia tu, jamaa alinibadilikia mpaka leo siwezi kusahau.

Aliniangalia akaniuliza, umekuja kufanya nini hapa? Nikasema nimekuja kukusalimia tu. Akasema niko busy saa hizi. Nikasema OOOOK.

Needless to say, miezi michache baadaye nilitafuta sehemu nyingine nikajikata.

Sehemu nyingine hata ukitaka kusalimia watu ni kwa appointment, ama sivyo unaonekana unapotezea watu muda.
 
Mimi tabia yangu ya Kutopenda Unafiki, Ujinga, Utoto, Upuuzi, Upumbavu, Kujikomba na Kuongopa imenifanya nichukiwe sana kuliko hata Shetani.
Tatizo lako wewe umekosa BUSARA humu.

Ishu ndogo TU ya kumwelewesha mtu,

Solution yake wee unaona Ni kumchamba mtu,

Unaporomosha mvua ya mitusi ya nguoni mpk watu wanahama kwny mada ya Uzi husika.

[emoji3525]NANI ANAKOSA KUKUCHUKIA KWA MAMBO HAYO YA KI-ASHA NGEDELE HUMU NDANI.
 
Daai eti ukute nacheka cheka huku naitikia sawa!
hii ni kitu sina mura, mara nyingi ntanyamaza kusikiliza kama ni point au pamba ili nikosoe au kufanyia kazi full stop
 
Yule jamaa inawezekana nilimkuta yupo katikati ya stress za madeni.

Jamaa alikuwa eccentric Professor fulani hivi kawa frustrated na maisha, rafiki zake aliosoma nao wote wametoboa maisha, mmoja alikuwa rais Europe. Yeye alikuwa anajiona kalosti.

Mimi nilivyousoma mchezo tu na kuona hapa hamna respect nilijikata zangu.

Tatizo jamaa ni bonge la passive aggressive. Leo kakuzodoa hivyo, kesho anakupa offer vizuri akununulie lunch kama bosi poa tu.

Nikasema hapa hapanifai.

I had the exact opposite problem, ofisi ike ukijipendekeza ndiyo unaleta tatizo, watu hawana muda wa kuendekeza kujipendekeza.
Maisha bila unafki hayaendi
 
Huu Uzi Nadhan watumishi wa serikali hasa hasa walimu Ni Bora mkae tu kimya.

Miaka 5 Sasa hamjaongezwa mshahara, ila kila MEI MOSI mnamshangilia na kumpigia makofi.

Wakati wa Uchaguzi, nyie ndo vinara wa kuhakikisha liwalo na liwe bao la mkono lazima lifungwe.
Bila hata Aya, Wengi wenu mna kadi za chama.

Mbaya Zaid,
Juz juzi kawaambia mridhike na vyeo vyenu.

Kisha yeye akaenda kuchukua fomu ya peke ake
Wala hamjalalamika, mmeishia TU kumsifia kinafiki.

Mkajitutumua angalau kuonyesha Nia,
Ujira wenu hajawalipa,wengine mmefutwa kabisa.
Wala hamjalalamika,mmeishia TU kumsifia kinafiki

AFU MNAKUJA HUMU,
Mmejificha nyuma ya Keyboard, Mnasema mnachukia kujipendekeza.

ACHENI UNAFIKI WATUMISHI
 
Back
Top Bottom