Tabia za Ajabu za Watoto

Nenda nae PM kama kweli unania ya dhatii
NIMECHELEA KUONEKANA MKWARE KAMA WAKWARE WENGINE...MAANA KWENYE MSAFARA WA MAMBA NA KENGE WAMO...
ANGEKUWA YUPO FREE NINGEMUONA PM CHAP...MUOGA SANA MIMI...
 
Walivosema hivo wazazi wao walisikia ? Na wifanya nini baada ya kusikia
Nilimwambia mama yao na ambaye nI dada angu kabisa. Hakuchukua hatua yoyote ile wala Hata hakuwakanya...
Ni mtu wa kupenda sana watoto wake mpaka anavuka mipaka.
Kuna kimoja kilikula chakula kikamaliza kikaacha sahani mezani, Na wazazi wake walikuwepo nikamwambia katoe sahani ikasafishwe, alinijibu Sitaki mbele ya wazazi wake wote. Mama ake alinambia si umsaidie tu kutoa.. Nikasema huyu haya Malezi sio mazuri.
Sasa hivi kamaliza la saba bado anajikojolea kitandani. Mama ake Hana hata wasiwasi
 
Huyoo mama ajiandaee kuleteaa mimbaa hapoo... Baba akee naee anawachekea tuu???
 
[emoji23] nimegundua chanzo ni mama yao sio watoto kuiga tabia nje
Dada yako asipoangalia siku moja atakuja kulia
Watoto wanatakiwa wachapwe kidogo au kukaripiwa
 
Lazima mkuu watoto huwa wanakuaa na maswali Sana... Mtoto wa miaka mitano anauliza wastani wa maswali hata 100 kwa siku!
kuna mjomba wangu alimuuliza bibi yake? mbona mimi sikumuona babu akiwa sharobaro (hapo ni baada ya kuona picha ya babu yake kavaa jinsi na miwani enzi izo)

analalamika eti alikuwa wapi hadi kumkuta babu kazeeka hata avai kisharobaro tena.
 
[emoji23] nimegundua chanzo ni mama yao sio watoto kuiga tabia nje
Dada yako asipoangalia siku moja atakuja kulia
Watoto wanatakiwa wachapwe kidogo au kukaripiwa
Atajua mwenyewe na watoto wake. Ila wakija kwangu wanajuaga Sipendagi ujinga kabisa. Heshima ni lazima iwepo.
 
Kwingne nilienda kutembea kwa Aunt tu aisee sasa kuna mtotot yeyey Kujamba kwake ni Kama sifaa...Mnakula mezani anaweza achia ushuuzii afu anajibinuaa kabisaa wanamuangalia tu wanacheka aiseee nlikosa amani Sana... Hata sebuleni anajiachiaa tu makusudii anaaachia ushuzi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mmoja.ni mwanachama mtiifu wa ccm.yaani huyo ukitaka ugombane nae mwambie wewe ni chadema.
Mgeni akija anamuuliza wewe ccm au chadema.
Kama chadema ondoka kwetu.
Mkuu hiyo kesi ipo ktk familia yetu. Mtoto wa dadangu tangu yupo Mdogo kabisaa akisikia ccm hamuwezi kusikilizana tena. Anaipenda vibaya mno. Sasa hivi yupo la NNE bado anaipenda sana. Cha ajabu hapo kwao familia yake yote wapinzani. Wakimuuliza anaipendea nini CCM hana sababu hata nusu.
 
Mengine si wazazi hata kidogo ni watoto wenyewe wanachagua pattern zao wenyewe.
 
Hahaaa....huyo kirikuu sasa
 
Uswahilini ndo balaa tupuu!!
Dogo wa jiranu akiingua ndani lazima achomoke na elaa, sijui wanakua wametumwa na mama zao?
 
KUNA WALE WANAWAZOESHA WATOTO ZAO SMARTPHONES...WANAWAWEKEA KATUNI...WENGINE MAGEMU..
 
Kuna wengne ukikafinya kanalalamika kwanguvu mbna unanifinya unaniumiza
Mkuu hiyo ya kulalamika kuumizwa siyo mbaya sana, kanaonyesha kujiamini. Hiyo ni dalili nzuri kwamba hata sehemu nyingine hakata kubali kuonewa kirahisi rahisi. Ni vizuri kuwaonya wanapokesea na kuwafundisha tabia njema watoto lakini siyo kuwakataza kila kitu! Kisaikolojia maneno hasi kama "Hapana", "Hacha", "Husiende/Husifanye", "Funga Mdomo", "n.k" yakiwa mengi kwa mtoto yanachangia sana kuharibu vipaji vya watoto na kuwafanya wasijiamini.
 
My friend huo uzungu sio kwa watoto wa bongo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…