hahahahha sjaolewa bado loh mtoto ananunuliwa tablets za kichina achezee, hua najionea hasara tu kwan akkwekwa hapo chini ukamsogezea vidude dude akachezea inakuaje? Na hiyo s tabia nzur huwez kuingia kwa mtu ukachukua kitu bila ruhusa ya wenyewe, nina rafiki yangu tulisoma wote, akabahatika kupata mtoto w akiume akaniagizia nimletee kiti na meza ya kulia mtoto chakula sikua na hiyana nikaenda kuulizia bei kwanza subhannallah, ikabidi nimpigie namwambia kwan kuna ulazima wa kutafta hiko kiti?? S umweke chini ale halaf mtoto anakua je kama umepangiwa yai lako n hilo moja? Sikujua bei ingekua hiyo, nikamwambia kwa hii bei waweza mchongea ya nbao nzuri tu ukapata kuliko unayotaka ww,akanisisitiza nitafte ya bei ya chini that day nikakosa nijamwambia lakini huwez amini alikuja kununua hiko kiti na meza nikasema okay n mtoto wake ngoja tusiseme sana wala kuingilia