Tabia za Ajabu za Watoto

Tabia za Ajabu za Watoto

S ndio hapo wenyeww wanaona wanalea kumbe wanawaharibu na vitoto havina adabu hata chembe vya siku hizi
YAANI WANAJIKUTA WENGINE KAMA KUZAA NDIO WAMEANZA KUANZA WAO...NA UCHUNGU NDIO WAMEUPATA WAO TU...KWAHIYO MTOTO ANALELEWA KAMA YAI...MBONA MAMA ZETU HAWAKUTULEA HIVYO...
 
Kuna dogo nilipanga nyumbani kwao..[emoji17]..yeye ukiacha viatu nje utakuta vimejazwa michanga kama tipa....[emoji3]...yaana ukifua uvianike juu ya bati...!!.watoto ni shida aisee....
Aisee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Familia yenye watot wenye tabia za ajabu huwa sirudi Mara mbili hata wakikuwa
 
yan hiyo tabia ya wazazi kutokutaka watoto wao waadhibiwe ,kuna wazazi walikua na watoto wadogo aisee walikua wadokozi mno,ukiweka kitu vibaya hakipo basi majirani wakiwapiga au kuwasemelea kwa wazazi wao wanawaambia waacheni hizo ni stages tu wakikua wataacha,baadaye wazazi walifariki wakabaki wao pekee ile tabia ya wizi waliendelea nayo hadi wamekua wakubwa and now mmoja ni marehemu alipigwa mpk kufa sababu ya wizi, mwingine yupo jela kitambo sasa. haya mambo ya watoto haya bora kumkanya tangu akiwa mtoto tu.
Aisee Tabia ya Udokozii haifaii kabisa..!! Mtoto akidokoaa pigaa kweli kwelii
 
Nilipokuwa mtoto, nilichukua pilipili kichaaa kisha nikapaka dushe kwa mbele ....... kilichofuata hatari sana
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji16]uliwaza ninii
 
Wewe dada umeolewa kweli...yan wewe ndo wa kuzaa nae kbs..
hahahahha sjaolewa bado loh
.hayo ndio malezi ya mama...sio majongoo ya siku hizi...

Kuna wakati mtoto anaingia ht ndan kwa watu anachukua kitu bila kuomba anakula...aisee...kwanza kuanzia ndani mwanangu usichukue kitu mpaka uruhusiwe na mama...na hutakiwi kumuomba mtu mwingine zaidi ya baba na mama tu...
mtoto ananunuliwa tablets za kichina achezee, hua najionea hasara tu kwan akkwekwa hapo chini ukamsogezea vidude dude akachezea inakuaje? Na hiyo s tabia nzur huwez kuingia kwa mtu ukachukua kitu bila ruhusa ya wenyewe, nina rafiki yangu tulisoma wote, akabahatika kupata mtoto w akiume akaniagizia nimletee kiti na meza ya kulia mtoto chakula sikua na hiyana nikaenda kuulizia bei kwanza subhannallah, ikabidi nimpigie namwambia kwan kuna ulazima wa kutafta hiko kiti?? S umweke chini ale halaf mtoto anakua je kama umepangiwa yai lako n hilo moja? Sikujua bei ingekua hiyo, nikamwambia kwa hii bei waweza mchongea ya nbao nzuri tu ukapata kuliko unayotaka ww,akanisisitiza nitafte ya bei ya chini that day nikakosa nijamwambia lakini huwez amini alikuja kununua hiko kiti na meza nikasema okay n mtoto wake ngoja tusiseme sana wala kuingilia
 
Wanaanzaga kama mchezo kukujaribu...akiona unamchekea...ety oooh yan wewe e mtoto mtunduuu...

Anaona kumbe mwapenda eeh..sasa ndo anaendelea...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Anatest zarii Kwanzaa aonee moto wakee
 
Me mtu akishanambia hivo hua sitak hata kumkaribia mtoto wake wala kumtuma chochote sipendi bugdha na watu kabisa, hahaha huyo at least alikua ana make sense japo kavunja mayai yote huyo unamwambia tu siku nyingine usivunje s umeona hakuna mtoto alietoka? Watoto ni shida sana nina mama angu mdogo ana watoto wa kike wa tatu, wa kwanza ndio form two now yan chumba chao ukiingia utasema tuko karume au manzese hua nikienda wakijua naenda watafanya usafi mama yao hasemi nao tena hata kuwamabia labda mtoto wa kike anapaswa kua msafi hamna, wa mwisho anakojoaga kitandani sasa hafui nguo zake yuko la tatu u can imagine hiyo harufu huko chumbani kwao mama yao yupo nao 24/7 haongei kabisa napataga tabu sana
huyo mama mdogo nahisi amesema mpk kachoka amaeamua kuacha tu, kwahyo ukienda wewe ndyo atleast wanakuskia na endelea kuwakomalia hivohivo tu, huyo wa form two ni kabinti kakubwa kubwa tu ,hicho chumba kama karume hahaaaa sipati picha
 
YAANI WEWE MWANAMKE NI MIONGONI MWA WANAWAKE BORA WALIO HATARINI KUTOWEKA...

KUNA MTOTO HUYO HASALIMIAGI KABISA...NAMWAMBIA URAFIKI NA MIMI SINA...NA ZAWADI SIKUPI NA KWANGU USIJE...NA USICHEZE NA MWANANGU...SIPENDI WATOTO WATUKUTU...
hahahaha wewe umetisha ukamfukuza kabisa??? Hahaha
 
Kuna dogo nilipanga nyumbani kwao..[emoji17]..yeye ukiacha viatu nje utakuta vimejazwa michanga kama tipa....[emoji3]...yaana ukifua uvianike juu ya bati...!!.watoto ni shida aisee....
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
huyo mama mdogo nahisi amesema mpk kachoka amaeamua kuacha tu, kwahyo ukienda wewe ndyo atleast wanakuskia na endelea kuwakomalia hivohivo tu, huyo wa form two ni kabinti kakubwa kubwa tu ,hicho chumba kama karume hahaaaa sipati picha
odo hua hasemi yuko hivo s muongeaj hata mtoto wake akikosea, chumban kwao hujui nguo safi ni zipi chaf ni zipi, hujui madaftari ya shule ni yapi ya twisheni ni yapi, mtoto hajui soksi kaweka wapi asubh ndio anataka kwenda shule ndio atafte, vyombo sasa wamepeana zam unaweza kuta sufuria ya ugali ya tangu juzi haijaoshwa imevunda na mama yao yupo anakwambia watajua wenyewe me kabla ya kwenda hua namtaarifu odo kesho naja atawaambia hiyo siku kutasafishwa vyombo vitaoshwa nikifika nakuta pasafi baada ha muda wa siku mbili tatu mchezo unajirudia bas hapo ndio tunaanza mbinde anakwambia sioshi chombo kama s zam yangu, unawagombeza wakat mwengine unawachapa wanamuogopa baba yao zaidi kuliko mama yan wakishasikia baba anakuja wote mbio
 
Back
Top Bottom