Tabia za Mabosi waliopo kwenye Taasisi zenye njaa

Tabia za Mabosi waliopo kwenye Taasisi zenye njaa

SongombingoJr

Member
Joined
May 9, 2021
Posts
15
Reaction score
16
Kuna tabia mbalimbali wanakuwa nazo mabosi (hasa watendaji wakuu) wa taasisi za Serikali kama vile mabaraza, bodi, tume na baadhi ya Wizara . Taasisi hizi nyingi hazijiwezi hata kujiendesha vizuri. Watendaji wakuu/mabosi wa taasisi hizi wengi huwa na tabia zifuatazo;
1. Roho mbaya
2. Kila inapotokea safari unakuta. bosi anataka kusafiri yeye.
3. Hubana maslahi ya watumishi au wafanyakazi wengine.
4. Ni washirikina hatari.
Kwa uzi huu tuwataje baadhi ya watendaji (vyeo vyao) na baadhi ya vitabia vya kipumbavu ambavyo huwaumiza wengine. Pengine huenda ikasaidia wakajirekebisha.
 
Kuna tabia mbalimbali wanakuwa nazo mabosi (hasa watendaji wakuu) wa taasisi za Serikali kama vile mabaraza, bodi, tume na baadhi ya Wizara . Taasisi hizi nyingi hazijiwezi hata kujiendesha vizuri. Watendaji wakuu/mabosi wa taasisi hizi wengi huwa na tabia zifuatazo;
1. Roho mbaya
2. Kila inapotokea safari unakuta. bosi anataka kusafiri yeye.
3. Hubana maslahi ya watumishi au wafanyakazi wengine.
4. Ni washirikina hatari.
Kwa uzi huu tuwataje baadhi ya watendaji (vyeo vyao) na baadhi ya vitabia vya kipumbavu ambavyo huwaumiza wengine. Pengine huenda ikasaidia wakajirekebisha.
Bosi wangu mi ni mmama..hana uswahill kabisa ..kuna muda had mawazo ya kutaka kutoka nae huwa yananijia maana ni mzungu snaa kias kwamba unaeza hisi anakutaka...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mambo yameshachacha huko jamani,
tumsaidie mwanetu hata kwa kumfariji
 
Kuna tabia mbalimbali wanakuwa nazo mabosi (hasa watendaji wakuu) wa taasisi za Serikali kama vile mabaraza, bodi, tume na baadhi ya Wizara . Taasisi hizi nyingi hazijiwezi hata kujiendesha vizuri. Watendaji wakuu/mabosi wa taasisi hizi wengi huwa na tabia zifuatazo;
1. Roho mbaya
2. Kila inapotokea safari unakuta. bosi anataka kusafiri yeye.
3. Hubana maslahi ya watumishi au wafanyakazi wengine.
4. Ni washirikina hatari.
Kwa uzi huu tuwataje baadhi ya watendaji (vyeo vyao) na baadhi ya vitabia vya kipumbavu ambavyo huwaumiza wengine. Pengine huenda ikasaidia wakajirekebisha.
Hiyo namba 3 umegonga penyewe hasa
 
Mara nyingi namba 4 huwa ndiyo kisababishi!
Mwanzilishi wake ni jeuri sana na mbinafsi.
Kumbuka, hata alimwasi Yule aliyemuumba! Akitaka atawale yeye!
Ni hatari sana kushirikiana naye!
 
Kuna tabia mbalimbali wanakuwa nazo mabosi (hasa watendaji wakuu) wa taasisi za Serikali kama vile mabaraza, bodi, tume na baadhi ya Wizara . Taasisi hizi nyingi hazijiwezi hata kujiendesha vizuri. Watendaji wakuu/mabosi wa taasisi hizi wengi huwa na tabia zifuatazo;
1. Roho mbaya
2. Kila inapotokea safari unakuta. bosi anataka kusafiri yeye.
3. Hubana maslahi ya watumishi au wafanyakazi wengine.
4. Ni washirikina hatari.
Kwa uzi huu tuwataje baadhi ya watendaji (vyeo vyao) na baadhi ya vitabia vya kipumbavu ambavyo huwaumiza wengine. Pengine huenda ikasaidia wakajirekebisha.
Awamu ya 5
 
Back
Top Bottom