Tabia za Uzandiki, Unafiki,Umasikini,na Roho za kwanini za Watanzania

Tabia za Uzandiki, Unafiki,Umasikini,na Roho za kwanini za Watanzania

kichomiz

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2011
Posts
19,257
Reaction score
12,244
Hii nchi imejaa majitu ya ajabu sana, majitu yenye roho za kwa nini,machawi,yenye wivu,husda na kuombea wengine mabaya Pumbavu kabisa,

Kuna mapumbavu ,linaweza likaenda hotel,bar au sehemu limealikwa au limetolewa out kwa uzuri tu,Ila likafika sehemu husika vizuri tu,kwanza likashangaa mazingira kama mwenye sehemu linamjua na haliamini kama ni yeye anamiliki hiyo sehemu,basi lazima lifanye mambo ya kukomoa,nimeyashuhudia

mengi yanaharibu miundo mbinu makusudi kabisa,jitu linaharibu Koki za maji makusudi washroom (msalani) eti ili mwenye mali apate bili kubwa ya maji,likishindwa kuharibu linafungulia tu maji ili yamwagike tu, Pumbavu kabisa hata bili ikija million 2,utadhani labda kuna mgao litapa,Sana Sana litaendelea kuongeza idadi ya vidonda vya tumbo,

Kenge mmoja, anakuta kuna panya anaharibu miundo mbinu ya maendeleo, iliyogharamiwa na SERIKALI kwa gharama kubwa kupitia Kodi zetu,anamuangalia na kusema jamaa yuko fasta ameng'oa kibao cha Alama Barabarani mchana kweupe na amesepa nacho,dereva mlevi,Lena anagonga nguzo ya umeme ,taa za Barabarani zinaanguka na anaondoka anatokomea,kenge anasema hayanihusu wakati hapo ni michango yetu kwenye kapu la hazina imeteketezwa,Pumbavu sana,

Kuna majitu mengine ,unapokuwa uko choka mbaya yanafurahi sana,kwa kuwa yanakujambia hovyo yanavyotaka,ila kwenye upambanaji wako ukitusua tu mnakuwa maadui wakubwa sana,lawama,visingizio visivyoeleweka kibao,unaweza we ukawa unataka kariakoo unaenda ubungo, ye amesimama kwenye kituo cha daladala magomeni mapipa anaenda posta,ila akasema ulimpita ukamnyima lift, huyu ni mchawi mtafuta sababu,

Ngoja ntakuja baadae kumalizia
 
unaweza we ukawa unataka kariakoo unaenda ubungo, ye amesimama kwenye kituo cha daladala magomeni mapipa anaenda posta,ila akasema ulimpita ukamnyima lift, huyu ni mchawi mtafuta sababu,
 
Unaitukana nchi yako? Ngoja ssh apitie huu Uzi
Hii nchi ina wenyewe na wenyewe wenye hela na rangi nyeupe.
1) Nipo bank nusu saa kwenye foleni anaingia mzungu faster anapewa huduma.
2) Mama V kaibiwa anaambiwa gari haina mafuta kapewa RB akamkamate mwenyewe mwizi.
3) Mdosi wa Upanga kaibiwa barabara imejaa askari polisi ukipita wana kukamata hasa ukiwa na sura mbaya kama Remmy Ongala.
4) Msela Kevin kaomba ajira mwaka wa 7 tokea amalize chuo, mtoto wa muheshimiwa juzi kamalaiza chuo yupo ofisini.
 
Hii nchi ina wenyewe na wenyewe wenye hela na rangi nyeupe.
1) Nipo bank nusu saa kwenye foleni anaingia mzungu faster anapewa huduma.
2) Mama V kaibiwa anaambiwa gari haina mafuta kapewa RB akamkamate mwenyewe mwizi.
3) Mdosi wa Upanga kaibiwa barabara imejaa askari polisi ukipita wana kukamata hasa ukiwa na sura mbaya kama Remmy Ongala.
4) Msela Kevin kaomba ajira mwaka wa 7 tokea amalize chuo, mtoto wa muheshimiwa juzi kamalaiza chuo yupo ofisini.
Hatuwezi kua sawa gap lazima liwepo
 
Kwamba mleta mada ww huna roho ya korosho ww umekamilika au sio?😂😂😂
 
Hii nchi ina wenyewe na wenyewe wenye hela na rangi nyeupe.
1) Nipo bank nusu saa kwenye foleni anaingia mzungu faster anapewa huduma.
2) Mama V kaibiwa anaambiwa gari haina mafuta kapewa RB akamkamate mwenyewe mwizi.
3) Mdosi wa Upanga kaibiwa barabara imejaa askari polisi ukipita wana kukamata hasa ukiwa na sura mbaya kama Remmy Ongala.
4) Msela Kevin kaomba ajira mwaka wa 7 tokea amalize chuo, mtoto wa muheshimiwa juzi kamalaiza chuo yupo ofisini.
Hii nchi Qmanyoko pardon my language r.i.p remmy Ongala
 
Back
Top Bottom