Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Nilikuwa naye mwenyeweHizo mbili alizopata vp au hips hazikuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naye mwenyeweHizo mbili alizopata vp au hips hazikuwepo
Hapana aisee hizo hizo ulizo nazo zinatoshahhahhaa ila jamaaa amesema ukweli hapo sitetei !nadhan na frustuations,kubanwa banwa na mambo ya ndoa na familia pia ! unaweza tafuta firaha kwa nia nyingi sio hizo wanazofanya !Ila nipeleke tu mwakani mzumbe hapo mume wangu ! ila kila wknd uwe unakuja !
watafuna wake za watuNa waume za watu je?
duuhhKuna moja tena mme wake hali mbayaa ana kisukari, nataman afe nikamatie hilo mama
Hapana aisee hizo hizo ulizo nazo zinatosha
Tatizo moyo
Wivu ndo usiseme
Kwanini umeuliza swali hilo mkuu?Mkuu ungetuma na picha tujue kama kweli ni Wake za Watu au lah! Pia hivi bado kuna Watu bado wanasomesha Wake/Wachumba zao bado!?
Acheni kujifanya mioyo inaumia akati nyie mkienda kujiendeleza mnaoa kabisa ...mnawaacha wake zenu mkoani mkisema wamechoka...waacheni na wao waliwe na dogodogo..ni bamba to bamba.Dooh lakini jaman siyo
Una roho mbaya!Watafuneni tu sio sabuni hiyo kusema itakwisha
35 ni mmama kweli nilijua ni65na vijana wa siku izi mshipa wa aibu hawana kabisaaaaaaaaa.....
kijana ana 20yrs anamkula mmama wa 35yrs bila hiyana na anampa dozi ya hatari mpaka mmama anauliza umepata wapi ujasiri wa kunichungulia na kunipa dozi kamili kama hii
Kuna mmoja nilimtupiaga kamba akiwa first year alikuwa ni full ijabu na juba mwaka wa pili naenda disco namkuta anakunywa pombe huku kavaa vile vi jinsi vimekaa kama chupi hapo nilichoka kabisa\nilikua na rafiki mzenji !kifupi aliondoka chuo amesokota dread! sijui huwa nn
Na nyie wanaume vp hamyafanyi hayoHabari ndugu!
Kuna baadhi ya wanaume ndani ya ndoa huamua kumwendeleza kielimu/kumsomesha mke wake katika ngazi mbalimbali ili wasaidiane baadae kupambana na maisha!
Lakini tabia za hao wake za watu waliowengi wafikapo chuoni kwakweli tabia zao zinasikitisha na kukatisha tamaa!
Ilitazamiwa mtu mzima ambaye ni mke Wa mtu afikapo chuoni awe mfano bora Kwa mabinti wadogo kwa kuwashauri kujistili na tabia njema lakini cha kusikitisha wadogo ndiyo wamegeuka walimu wao katika kuwaharibu tabia.
Mke Wa mtu anatoka mkoani na tabia safi, mavazi mazuri lakini anapoanza chuo anageuka kahaba, hamnyimi mtu, anavaa vimini utafikiri baamedi, haachi kuruka viwanja na wengine pasipo aibu huvua Pete na kuishi kinyumba na mabwana mjini ili hali huko kijijini wameacha familia zao!
Wengine wakinogewa zaidi hulazimisha kuvunja ndoa zao ili aolewe!
========
Wake za watu waoneeni huruma waume zetu.
Na nyie wanaume wenzagu mnaosomesha, Acheni ubwege Wa kupitiliza! Wewe mkeo anaenda chuo na unatambua fika mkeo mashallah lakini hufuatilii amefikia wapi,analala wapi, anakula nini! Hufuatili nyendo zake chuoni kwakweli nanyinyi mnachangia sana wake zenu watafunwe!
LAKINI UKWELI WAKE ZA WATU WANATAFNWA KILAINI SANA HUKO VYUONI HADI AIBU!
*****************
Kuna jamaa angu alishachanganyikiwa kisa alimtembelea mkewe hosteli akakuta anatafunwa!
Badilikeni ndugu zangu !
HahahaHabari ndugu!
Kuna baadhi ya wanaume ndani ya ndoa huamua kumwendeleza kielimu/kumsomesha mke wake katika ngazi mbalimbali ili wasaidiane baadae kupambana na maisha!
Lakini tabia za hao wake za watu waliowengi wafikapo chuoni kwakweli tabia zao zinasikitisha na kukatisha tamaa!
Ilitazamiwa mtu mzima ambaye ni mke Wa mtu afikapo chuoni awe mfano bora Kwa mabinti wadogo kwa kuwashauri kujistili na tabia njema lakini cha kusikitisha wadogo ndiyo wamegeuka walimu wao katika kuwaharibu tabia.
Mke Wa mtu anatoka mkoani na tabia safi, mavazi mazuri lakini anapoanza chuo anageuka kahaba, hamnyimi mtu, anavaa vimini utafikiri baamedi, haachi kuruka viwanja na wengine pasipo aibu huvua Pete na kuishi kinyumba na mabwana mjini ili hali huko kijijini wameacha familia zao!
Wengine wakinogewa zaidi hulazimisha kuvunja ndoa zao ili aolewe!
========
Wake za watu waoneeni huruma waume zetu.
Na nyie wanaume wenzagu mnaosomesha, Acheni ubwege Wa kupitiliza! Wewe mkeo anaenda chuo na unatambua fika mkeo mashallah lakini hufuatilii amefikia wapi,analala wapi, anakula nini! Hufuatili nyendo zake chuoni kwakweli nanyinyi mnachangia sana wake zenu watafunwe!
LAKINI UKWELI WAKE ZA WATU WANATAFNWA KILAINI SANA HUKO VYUONI HADI AIBU!
*****************
Kuna jamaa angu alishachanganyikiwa kisa alimtembelea mkewe hosteli akakuta anatafunwa!
Badilikeni ndugu zangu !