Tabia za wanaume baadhi wa Dar zinaendana na dalili za ushoga

Hata wanaume wa Morogoro nao wana tabia hizi juzi nimewakuta wanakula mahindi ya kuchoma huku wanayapaka chumvi pilipili na limao
Wameanza kuwaambukiza tutawapiga marufuku kusogea moro
 
Umesahau la kuweka vidole juu wakiwa wanaongea
 
Kuna mmoja alikuwa anasoma gazeti ghafla akashtuka!namuuliza vipi??eti hili jikaratasi la gazeti limenchoma kidoleni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari man
 
Wanaume waikoani mna hitaji maombi, kama thread zenu kila uchwao ndio hizi hizi tu
 
kwa kweli waache tabia hizo
 
Kuzaliwa mwanaume kamili mwenye elements zote za kiume kuna raha yake jaman
 

Mie wa Dar ila nakuunga mkono 100% unakuta mwanaume eti kaweka hereni sikioni kama si bwabwa nini sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…