Tabia za wanaume baadhi wa Dar zinaendana na dalili za ushoga

Tabia za wanaume baadhi wa Dar zinaendana na dalili za ushoga

MorTimer

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
1,195
Reaction score
968
-------------------------
1. Kutia kalikiti nywele
2. Kujichubua
3. Kutinda nyusi/kujiangalia sana kwenye kioo.
4. Kutoboa pua/sikio.
5. Kupaka lip shine.
6. Kuvaa nguo za kuacha mapaja nje.
7.Umbea.
8.Kupigana vijembe.
9.Kupenda taarabu.
10. Kurembua macho/Kulegeza sauti hapa akiongea na mpenzi wake wote sauti za ke.
11.Wanakata viuno na kubinua matako hapa uwakute kwenye singeli utaelewa nini namaanisha.

Poleni wanawake wa dar mpaka mtaingia kaburini bila kupata radha kamili ya MWANAUME...Karibuni mikoani....
 
-------------------------
1. Kutia kalikiti nywele
2. Kujichubua
3. Kutinda nyusi/kujiangalia sana kwenye kioo.
4. Kutoboa pua/sikio.
5. Kupaka lip shine.
6. Kuvaa nguo za kuacha mapaja nje.
7.Umbea.
8.Kupigana vijembe.
9.Kupenda taarabu.
10. Kurembua macho/Kulegeza sauti hapa akiongea na mpenzi wake wote sauti za ke.
11.Wanakata viuno na kubinua matako hapa uwakute kwenye singeli utaelewa nini namaanisha.

Poleni wanawake wa dar mpaka mtaingia kaburini bila kupata radha kamili ya MWANAUME...Karibuni mikoani....
Angalau tunajua kusoma na kuandika.

Radha ni nini?
 
Back
Top Bottom