Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
😀😀😀Sasa mbona mimi mrefu lakini najijua mbishi kiasi kwamba kuna wakati hata najibishia mwenyewe hadi najiongelesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Sasa mbona mimi mrefu lakini najijua mbishi kiasi kwamba kuna wakati hata najibishia mwenyewe hadi najiongelesha.
Chuma ulete utawajua tuuh..! Umeliwa bure wewe hahahahah..!wafupi wamezid tabia nyingine wachoyo
Utakuwa mshilikina wewe kila muda unawanga.Chuma ulete utawajua tuuh..! Umeliwa bure wewe hahahahah..!
Unapokuwa thamani yako ya chini afu, unatamani upate zari la mtu wa maana, smartness zero, mwonekana 20%(mhindi no chura), kauli zako domo kubwa na chafu, hufai kuwa na mtu mwenye hadhi yake utachafua cv za watu..!Utakuwa mshilikina wewe kila muda unawanga.
Pambana na hali yako.Unapokuwa thamani yako ya chini afu, unatamani upate zari la mtu wa maana, smartness zero, mwonekana 20%(mhindi no chura), kauli zako domo kubwa na chafu, hufai kuwa na mtu mwenye hadhi yake utachafua cv za watu..!
Nimeimudu vyema kabisa..! Vutunguu mashavuni and days are numbered..! PolePambana na hali yako.
Me ndo natakiwa nikupe pole...Nimeimudu vyema kabisa..! Vutunguu mashavuni and days are numbered..! Pole
Akili ya kiazimbatata unipe pole..! Hahahah..[emoji773]Me ndo natakiwa nikupe pole...
mnajifanya kuchagua warefu angalieni urefu wa baba zenu. wengi wenu wazazi wenu ni mbilikimo. na hela za wafupi muwe mnazitenga. sio mnakula pesa zao, wakiwala hadi upande wa pili mnalialia na kujitwisha falsafa.wafupi wamezid tabia nyingine wachoyo
Baba yangu futi sita.hajawahi kuwa mfupi...kwetu hakuna mfupi ndugu.kuhusu ela ukijipendekeza nakula tu .mnajifanya kuchagua warefu angalieni urefu wa baba zenu. wengi wenu wazazi wenu ni mbilikimo. na hela za wafupi muwe mnazitenga. sio mnakula pesa zao, wakiwala hadi upande wa pili mnalialia na kujitwisha falsafa.
Hahaa pole.Mbona mm ni mrefu sana lakini naambiwa na mademu kuwa na tabia izo.
Shenzi kabisa kumbe wananisingizia?
sasa mtu akikupa hela akala na chako sasa ndo unakasirika na kumvisha matabia hayo? tatizo la wanawake hawajui wanachotakaBaba yangu futi sita.hajawahi kuwa mfupi...kwetu hakuna mfupi ndugu.kuhusu ela ukijipendekeza nakula tu .
Unapoteza muda wako kubishana na kiazi mbatata ? Itakuwa na wewe kiazi mwenzangu.Akili ya kiazimbatata unipe pole..! Hahahah..[emoji773]
Hatujui ndio.sasa mtu akikupa hela akala na chako sasa ndo unakasirika na kumvisha matabia hayo? tatizo la wanawake hawajui wanachotaka
kumbe hujui unachotaka? ndio maana unachukua mwanaume asiyeendana na wewe. umewahi kuona mluguru kaoa msukuma?Hatujui ndio.
Dawa ya kiazi mbatata ni korie ya moto na mafuta ya transformer, huko ndiyo hadhi yako be aside wait for another episode..!Unapoteza muda wako kubishana na kiazi mbatata ? Itakuwa na wewe kiazi mwenzangu.