Tabia za wanaume zisizowapendeza wanawake!

Heri yake anayaweza,
Mie ndio wa kuringa ili nibembelezwe ati!kwa raha zangu,
Raha ya kuringa niringe mie na mapozi ya kutosha lol!
Nyie ndo wanawake mliopitwa na wakati, siku hizi mwanamke gani anaye ringa, waringieni walio baki usingizini.

Siku hizi kuna wasichana wazuri tena wana adabu zao, wana kazi zao za maana, na wengine wana pesa kuliko huyo mwanaume wanabembeleza kuolewa, mwanaume anaye jiweka down kwa mwanamke inabidi akasomewe dua ili arudishe akili zake.

Sio wanaume wote wanaweza kuwa wanaume, wewe utawaringia wale wanao jidai wanaume mbele za watu lakini sio mwanaume akiwa mbele ya mwanamke.

Kuna wanaume wengi wanatilisha aibu, unakuta janaume tena pandikizi la baba afu linamlilia mwanamke, na mengine yalivyo majinga wanawake wao wanabebwa na wanaume wengine yenyewe yanijidai kama hayaon... hao ndo wanakufaa wewe nadhani mana utawaringia, usije ukakosea step ukaolewa na mwanaume type kama mimi umeumia mana ukifanya hayo unapelekwa kwenu tena kwa nyimbo za kina Ali kiba.
 
Faza Bado hujajisikia ile ya kuwakera kina dada
 
Faza unaonekana mshari?
 
Nengenekeni weeee namijtabia hii Mara hle.......kweli amnaga.Hizo zote mbwembwe,zann?.Heshma fut 6.
 

Hello guys!
 
-wanukao sigara kinywani,kuvuta sigara kunaweza kusiwe tatizo lakini kinywa kunuka sigara kama kinu cha kuchambulia tumbaku ni kero kubwa kwa wanawake!chukua hatua
 
-kulewa,kunywa pombe kwa ajili ya kiu na afya haiwezi kuwa kero kwa mkeo ni mpaka pale unapolewa chakari kiasi wakati mwingine huishia kulala kibarazani au sebuleni!jirekebishe unamkera mkeo!
 
-mwanaume kuwa mpole,amini usiamini mkeo haitaji utumie diplomasia kwenye mambo yanayohusu familia yenu hususani mnapohusiana na watu wengine!the more you harshy and manly to other people the more she admires you!fanya kinyume chake utakumbuka maneno haya!
 
-mwanaume mtulivu,kiasili wanaume ni watulivu hivyo wakisikia jambo huwa hawafanyi mambo yao kwa pupa,amini nawaambieni,tunapokuwa watulivu wenzetu hudhani hatujali,tunawakera!akili kichwani mwako sasa!
 
-kuendelea na mambo yetu!mwanaume kumtoa mezani akiwa anasoma magazeti yake,sebuleni akiwa anaangalia taarifa ya habari,au ktk pc,laptop,ipad,au simu anaperuzi jf ni kazi kwelikweli,mkeo anapokuita,au kukuongelesha ukawa unaendelea na mambo yako hapo juu hata kwa sekunde kumi za ziada,umemuumiza na mtihani wa kwanza utakaokutana nao ukimaliza mambo yako umkute kitandani kalala uanze kumgeuzageuza...wee..utalala njaa siku hiyo!
 
-mwisho kabisa fanya makosa yote lakini sio uvivu kwenye lile tendo kwani ndio ndoa yenyewe!all the best ktk kuimarisha ndoa zetu
 
Sipendi mwanaume asiyejua kujistiri nakikwapa,lol..halafu kwenye naniliu anakuwekea kwapa lake puani kabisa lol

heee hahaha lol sa kwann humuogeshi na kumsafisha vizuri kwanza kbla ya......ndo kazi yako mwanamke hiyo!
 
Dah, aina zote mbaya ila mwanaume mbahili ndio staki hata kumsikia. Lol
 
Kuna kabila fulani wanafahamika kwa No. 4, natamani wadada wajihadhari na wa kabila hii. Maana kula, kuumwa, kuoga pia bajeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…