Tabia za watu wa mwambao wa ziwa Manyara zimebebwa na historia kubwa

Tabia za watu wa mwambao wa ziwa Manyara zimebebwa na historia kubwa

Makabila haya yanaenda mbali zaidi, walikuwa na ujilani mwema, inamaana Mzee aliruhusiwa kula mkeMwana( mke wa mtoto). Ilikuwa ukitoka marishoni ukikuta Fimbo au mkuki mlangoni! Ilikuwa ni ishara huko ndani mzee anashughulika, hivyo ni lazima usubiri kwanza hadi mzee amalize!
Mila za hovyo kabisa hizi...dini za kigeni zimetuletea ustaarabu mzuri sana wa maisha.


Kwanza kabisa ilikuwa ni mkosi kwao kuona mtu anapokata roho, hivyo mgonjwa aliyezidiwa walimtenga, kwa kumjengea kibanda shambani mbali kabisa, walimuacha huko na kumuwekea chakula cha kutosha!
 
Back
Top Bottom