Makabila haya yanaenda mbali zaidi, walikuwa na ujilani mwema, inamaana Mzee aliruhusiwa kula mkeMwana( mke wa mtoto). Ilikuwa ukitoka marishoni ukikuta Fimbo au mkuki mlangoni! Ilikuwa ni ishara huko ndani mzee anashughulika, hivyo ni lazima usubiri kwanza hadi mzee amalize!