Tabia za watu wa mwambao wa ziwa Manyara zimebebwa na historia kubwa

Mila za hovyo kabisa hizi...dini za kigeni zimetuletea ustaarabu mzuri sana wa maisha.


Kwanza kabisa ilikuwa ni mkosi kwao kuona mtu anapokata roho, hivyo mgonjwa aliyezidiwa walimtenga, kwa kumjengea kibanda shambani mbali kabisa, walimuacha huko na kumuwekea chakula cha kutosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…