Tabia zao please!

Ha ha haaa!
Ngoja niongeze siku za kuwa duniani through laughing...
Nashukuru kwa ushauri wako, nitaufanyia kazi pia..
 

Appreciated,
 
siku hizi havipo ivyo..mchunguze huyo huyo tabia yake kama kimeo mpige chini kama fresh chukua weka ndani..tabia za jumla uongo,kila m2 ana hulka na tabia zake.
 
Itabidi nichelewe kidogo kutangaza uchumba ili niruhusu uchunguzi wa kina na namna gani nitatatua haya mapungufu-

Mzee Dogo bado hujafikia umri wa kuoa. Mimi kaka yako cjafikilia kuoa na ninaamini siku ikifika sitajali criteria km zako coz nizakipremitive sana.
Binafsi nimewatafuna sana mabinti wa Kinyaki ukweli si wachoyo hata kidogo na they are big pretender!
So take my word ila isikufanye ukagaili kuoa huyo mnyaki make waniday naweza kukumegea uwapo safari.
 

Hakya mungu arif nikikukuta unatafuna hiyo kitu nakuua,
Anyway nashukuru kwa ushauri wako pia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…