Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Watu wana mikakati mibovu sana ya kuanzisha mahusiano.
 
Japo ni kitambo kidogo lakini maneno haya yaitaishi milele.
 
Kwa mara nyingine tena,mkuu mshana hongera[emoji122] andiko kama hili litaeleweka kwa wale wanaofahamu vizuri namna bora ya kufikicha akili zao katika kuelewa UKWELI WA MAISHA ulivyo..

[emoji3577][emoji1548][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1679]
 
Aisee [emoji848]
Tambua kwamba kuna tabia za kuchukiza na pengine zisizovumilika.. jiandae kuzikabili na kuzikubali.. .. hakuna mkamilifu kila mwanadamu ana roho ya kishetani ikiwemo WEWE[emoji12] [emoji15] [emoji23]

Asikudanganye mtu kuwa hizo tabia zinarekebishika, huko ni kujidanganya na kujitafutia maumivu zaidi.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imenitokea..mapenzi ni magumu
 
Ungetaka ajirekebishe ungemwambia mwenyewe sio kwenda kuwaambia watu wengine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…