Sasa hapo kwenye inborn na zile acquired character kutokana na makuzi n malezi MTU alipokulia huwa tatizo. Mara nyingi hizi Tabia ni vigumu kuacha au haziachiki kabisa.But sumbai kuna vingine ni mambo ya ujanani ambayo hukoma with time...halafu kuna tabia ambazo ni kizalia(inborn)
Yeah..Kwa baadhi ya watu kujua hivyo vitu inasaidia kuboresha mahusiano..Ila ukikutana na wasanii ni shida..Kaboom
Nakubaliana na wewe 85% lakini mimi tabia yangu lazima nataka kujua nini anapendelea na nini hapendi. sawa na mimi humuelezea pia ninacho penda na nisicho kipenda. Kuna demu wangu nilimuacha kwasababu nishamwambia sipendi kitu hichi na yeye ndio alichokifanya.
They are just too natural na kile tunachodhani ni kuacha sio bali ni kujaribu tu kuzi suppressSasa hapo kwenye inborn na zile acquired character kutokana na makuzi n malezi MTU alipokulia huwa tatizo. Mara nyingi hizi Tabia ni vigumu kuacha au haziachiki kabisa.
Hapo kwenye usanii umenigusa ndipo, niliwahi date kuna demu huyu msanii sijawahi kuona ana kila sifa ya usanii.Yeah..Kwa baadhi ya watu kujua hivyo vitu inasaidia kuboresha mahusiano..Ila ukikutana na wasanii ni shida..
Mkuu Mshana jr mimi mwanamke mwenye tabia ya umbea na mfitinifu simuwezi kabisa.Mmh ila kuna tabia nyingine hazielezeki kabisa mfano
Umbea
Udokozi
Uchimvi
Rohombaya nknk
Hizi hujifunua taratibu mno na kuna wakati kupitia kwa wengine. ..mfano unakuta wasichana wa kazi hawakai au ugomvi na majirani hauishi
Teh teh..Ungemtunuku cheti basiHapo kwenye usanii umenigusa ndipo, niliwahi date kuna demu huyu msanii sijawahi kuona ana kila sifa ya usanii.
Huyu mpaka Nobel prize angelichukuwaTeh teh..Ungemtunuku cheti basi
Tatizo umbea kwa wanawake uko ktk DNA zao!! Hapa kwa hawa wenzetu tukubali tu kuwa hii ni sifa yao ya kibayolojia. Wanawake wote ni wambea!Mkuu Mshana jr mimi mwanamke mwenye tabia ya umbea na mfitinifu simuwezi kabisa.
Umenena ukweli mkuu[emoji106]Tatizo umbea kwa wanawake uko ktk DNA zao!! Hapa kwa hawa wenzetu tukubali tu kuwa hii ni sifa yao ya kibayolojia. Wanawake wote ni wambea!
Mkuu Mshana jr mimi mwanamke mwenye tabia ya umbea na mfitinifu simuwezi kabisa.
Kuna baadhi hawana staha kabisa (na hii ni kwa jinsia zote) waropokaji na waliokosa uvumilivu kwenye lolote...kitu kidogo sana kinaweza kuleta vurumai moja kubwa sana bila kujali mpo wapi na naniHatari sana mimi wa hivyo nilikuwa nae mkuu yani akikaa sehemu kila mtu anamjua yeye mpaka nikaanza kuogopa ikabidi nikae pembeni tu
Kuna baadhi hawana staha kabisa (na hii ni kwa jinsia zote) waropokaji na waliokosa uvumilivu kwenye lolote...kitu kidogo sana kinaweza kuleta vurumai moja kubwa sana bila kujali mpo wapi na nani
Ila unajua quantity matters, Inategemea umbea wake ni kilo ngapi manake kuna watu ni wambea tani moja utafikiri kwenye uumbaji walisahaulika kuwekewa koromeoTatizo umbea kwa wanawake uko ktk DNA zao!! Hapa kwa hawa wenzetu tukubali tu kuwa hii ni sifa yao ya kibayolojia. Wanawake wote ni wambea!
Mmh kaka mtumishi leo umeamkia upande gani au ndo baraka za jumapili? Lol. Umeongea nukta in Kaboom ' s voiceKweli kabisa.
Na vile vile namna pia ya kuepukana na hizi drama ni vema kabla ya kuanza kudate lazima muwe karibu au muwe na mazoea
Yaani kila mmoja awe anamfahamu vema mwenzake katika hali ya kawaida....
Mnapokuwa normal friend ni rahisi zaidi kumfahamu mtu kwa vile anakuwa hajifich au hafich Tabia zake.
Ukianza kwa kumuoneshea nia yako. Lazima atajibadili meinendo Yake ili aonekane Si tatizo....
Couple za best friend au watu waliowahi kuishi kama marafiik Wa kawaida kwa muda mrefu nadhani changamoto kama hii kidogo inapungua. Kwa vile mnakuwa mnafamiana A to Z....