Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Tabia zilizojificha: Chanzo cha migogoro kwenye mahusiano

Kaboom
Nakubaliana na wewe 85% lakini mimi tabia yangu lazima nataka kujua nini anapendelea na nini hapendi. sawa na mimi humuelezea pia ninacho penda na nisicho kipenda. Kuna demu wangu nilimuacha kwasababu nishamwambia sipendi kitu hichi na yeye ndio alichokifanya.
Yeah..Kwa baadhi ya watu kujua hivyo vitu inasaidia kuboresha mahusiano..Ila ukikutana na wasanii ni shida..
 
Sasa hapo kwenye inborn na zile acquired character kutokana na makuzi n malezi MTU alipokulia huwa tatizo. Mara nyingi hizi Tabia ni vigumu kuacha au haziachiki kabisa.
They are just too natural na kile tunachodhani ni kuacha sio bali ni kujaribu tu kuzi suppress
 
Hatari sana mimi wa hivyo nilikuwa nae mkuu yani akikaa sehemu kila mtu anamjua yeye mpaka nikaanza kuogopa ikabidi nikae pembeni tu
Kuna baadhi hawana staha kabisa (na hii ni kwa jinsia zote) waropokaji na waliokosa uvumilivu kwenye lolote...kitu kidogo sana kinaweza kuleta vurumai moja kubwa sana bila kujali mpo wapi na nani
 
Kuna baadhi hawana staha kabisa (na hii ni kwa jinsia zote) waropokaji na waliokosa uvumilivu kwenye lolote...kitu kidogo sana kinaweza kuleta vurumai moja kubwa sana bila kujali mpo wapi na nani





Hakuna kitu sikipendi kama mtu kufatilia flani yani anaishi vipi mpaka alipofika na maisha yake.pamoja na mwanamke kuhamini kwenye shiriki kwenye maisha hii atanisamehe yani nitakuwa sina budi kwenye kumpuuza tu na ndio utakuwa mwisho wetu
 
Tatizo umbea kwa wanawake uko ktk DNA zao!! Hapa kwa hawa wenzetu tukubali tu kuwa hii ni sifa yao ya kibayolojia. Wanawake wote ni wambea!
Ila unajua quantity matters, Inategemea umbea wake ni kilo ngapi manake kuna watu ni wambea tani moja utafikiri kwenye uumbaji walisahaulika kuwekewa koromeo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Teh teh..Ungemtunuku cheti basi
d6236252bbec79b30d432b4d1762d81c.jpg

Huyu mpaka Nobel prize angelichukuwa
 
Ndo hivyo kuvumiliana hakuna mkamilifu.na asikudanganye mtu hulka huwa ni tabia haiwez kupotea.hvyo ni kuishi nae tu ila asiwe na hulka mby km umalaya bora zingine tu
 
Kweli kabisa.
Na vile vile namna pia ya kuepukana na hizi drama ni vema kabla ya kuanza kudate lazima muwe karibu au muwe na mazoea
Yaani kila mmoja awe anamfahamu vema mwenzake katika hali ya kawaida....

Mnapokuwa normal friend ni rahisi zaidi kumfahamu mtu kwa vile anakuwa hajifich au hafich Tabia zake.

Ukianza kwa kumuoneshea nia yako. Lazima atajibadili meinendo Yake ili aonekane Si tatizo....

Couple za best friend au watu waliowahi kuishi kama marafiik Wa kawaida kwa muda mrefu nadhani changamoto kama hii kidogo inapungua. Kwa vile mnakuwa mnafamiana A to Z....
Mmh kaka mtumishi leo umeamkia upande gani au ndo baraka za jumapili? Lol. Umeongea nukta in Kaboom ' s voice

Sisi tunachunguzana ndani ya mahusiano, badala ya kuchunguzana before mahusiano. (Ingawa as unavyoishi na mtu ndo unavyozidi kumfahamu vizuri.) As a result unaweza kuta mwenzako ana kitu ambacho unaona kabisa daah hapa haya mapendo yatakatia njiani. Lakini sasa kuuacha huo uhusiano Eeeh ni ngumu mnoo ukishakuwa ndani. Wengi kuna red flags tunakuwa tumeshaziona but ndo tupo ndani ya mapendo tayari, so tunajikuta tunaziignore. Tena na hivi sex ndo kiunganishi kikubwa cha mahusiano yetu, Hata kana kuna matatizo, yani siku mkionana unajua kinachofata ITV, yale matatizo yanazikwa ghafla no kuongelewa, tunaconcentrate na kuridhishana basi. Kila mtu akirudi kwake ndo unakumbuka daah lakini ana tabia fulani siipendi teh, mkikutana tena ni kuridhishana, red flags tupa kule.

Usipoangalia Unaingia kwenye ndoa afu baada ya muda unaanza kulalamikia juu ya vitu ambavyo tangu mwanzo uliviona ukaviignore. Shukuru Mungu itokee mmeachana kabla ya kufikia ndoa, ndo unaanza kusema " hivi ilikuwaje nikastay kwenye ule uhusiano"? hivi tungeoana ingekuwaje?, actually sikuwa hata naona hiyo future" teh
 
Back
Top Bottom