Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmmmhmnTrue story; mwaka 2011 binti mmoja aliolewa na jamaa mmoja 'handsome sana' kijana mtulivu asiye na mambo ya michepuko kabisa
Huyu jamaa alikuwa na jamaa yake mmoja walikuwa hawaachani they were more than best friends, kwahiyo hata ilipotokea kutokuelewana ndani ya nyumba jamaa ndio aliitwa kama msuluhishi
Siku moja mwaka 2013 binti akawa anaenda kwenye kikao mahali nyumba akimwachia mumewe na shemeji naye alikuwepo
Akiwa keshapanda bus akapigiwa simu kwamba kikao kimeahirishwa hivyo hakuwa na namna zaidi ya kushuka na kutafuta usafiri wa kurudi nyumbani, kufika hm akaingia moja kwa moja sebuleni mlango ulikuwa umeegeshwa tu lakini hakuona mtu hivyo akaongoza chumbani...
Ni huko chumbani alimkuta mumewe wa ndoa anapumuliwa kisogoni na yule best friend wake...binti alizindukia hospitali na kwa miaka miwili mfululizo hakuwa sawa kabisa
Ndoa ile ilivunjika lakini huyo jamaa kaoa tena na mkewe wa sasa inasemekana anaijua fika tabia ya mumewe lakini kaikubali
Huyo jamaa ni mc maarufu sana na FB hakauki
Umbea kwenye mambo ya msingi. Sio kufuatilia nani kafumaniwa vile vituko vya uswahilini.Tatizo umbea kwa wanawake uko ktk DNA zao!! Hapa kwa hawa wenzetu tukubali tu kuwa hii ni sifa yao ya kibayolojia. Wanawake wote ni wambea!
True kabisaHii pia inatokana na watu kutokubali kuskia ukweli!
Binafsi imewahi kunitokea kumpenda binti flan na kumwambia a2z kuhusu mimi baada ya hapo zarau zilizofata sitakaa nisahau,
Lakini ukiwadanganya utafurahia mapenzi ndani ya ndoa itajulikana hukohuko!
Na mimi naomba picha yake ingawa najua huu uzi ni past tenseTakutumia picha yake[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
Na ndio zinaleta migogoro mingiKweli mshana.. Tabia zetu mbaya hua tunazificha Sana.
Huwezi zisema zote... Hata mwenye Tabia mbaya anaijua mbaya. SASA unaisemaje na Ni aibu
sema ukweli ili uwe huru kuchaguliwa au kupigwa chiniHuwezi zisema zote... Hata mwenye Tabia mbaya anaijua mbaya. SASA unaisemaje na Ni aibu
Mkuuu...Kuna Mambo yangu. Siwezi kabisa kusema hata Mama aliniambia nisije Seema kabisa iwe Siri yangu.haahhah
sema ukweli ili uwe huru kuchaguliwa au kupigwa chini
Ila ukiwa mkweli inamrahisishia mtu kuishi na wewe. Tabia za kuficha ficha sio nzuri utakuja kupotezewa muda siku moja hutakaa uamini. Be frank and open ukitarajia lolote lile liwe zuri au baya. Najua mama yako anakujua vizuri tabia zako nje ndani pengine u mvivu sana au mbinafsi na mchoyo labda ila ni nzuri kwa mie kidume kujua instead ya kujifanyisha mtakatifu na mwisho ukishindwa kuendelea kuficha tunaanza kugombana.Mkuuu...Kuna Mambo yangu. Siwezi kabisa kusema hata Mama aliniambia nisije Seema kabisa iwe Siri yangu.
Mie naamini watu wangekuwa wanaishi katika uhalisia ndoa zenye migogoro baada ya 2 years walau 50% zingekuwa hazijafungwa. Njia pekee ya kumjua mtu ni kutengeneza mazingira ya ku cohabit...Mkuuu...Kuna Mambo yangu. Siwezi kabisa kusema hata Mama aliniambia nisije Seema kabisa iwe Siri yangu.
Pouwa Mkuu...Ila ukiwa mkweli inamrahisishia mtu kuishi na wewe. Tabia za kuficha ficha sio nzuri utakuja kupotezewa muda siku moja hutakaa uamini. Be frank and open ukitarajia lolote lile liwe zuri au baya. Najua mama yako anakujua vizuri tabia zako nje ndani pengine u mvivu sana au mbinafsi na mchoyo labda ila ni nzuri kwa mie kidume kujua instead ya kujifanyisha mtakatifu na mwisho ukishindwa kuendelea kuficha tunaanza kugombana.