Tabiri nani atateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Tabiri nani atateuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti CCM

Lazima atakua wa kutoka usukumani, kila la kheri Paulo,,
Hapa ccm anaenda kufa kifo kitakatifuu, Makonda anajitahidi ila analazimisha upepo tu , watu kama mh Mtaka ametulia ,japo najua atagombea ubunge, na. Akifanikiwa ndo kipaji chake kitaanza onekana

Ccm hupendagi wanachama wanao jitambua kamwe ,that's kinakufa vibaya , wale wazee machachari ndo huitwa fusi hakuna , acha kife Mungu yupo kazini
 
Safari Makamu wa Mwenyekiti ningependa atokee visiwani.
Katiba ya chama hairuhusu.
Kila upande wa Muungano kuna Makamu wake. Kule ni Rais wa Zanzibar, wa upande wa Bara hawezi kutokea Visiwani
 
Mmoja wa wazee ambae anataka kiinua mgongo mara tatu na kufia madarakani
 
KASSIM MAJALIWA
Sina shida na Mjaliwa , mzee pinda , shida hawa tiyari , wametengenezwe kiuongozi na ustarabu wa kiungozi sio kati ya watu hawa wawili ,mzee Mwamri au mtoto wa Nyerere ,ambae ni mkuu wa mkoa.

Ila utasikia ccm , uyu bwana mlevi sana ,kwani kunywa ni dhambi?

Mwalimu alikua haywi?,vipi Mkapa , je ccm mwajua niwatajao ndo mda sahii wa kwao ndani ya ccm ? May be wenda ubinafsi ndo wasumbua but ni watu sahii , nataka nchi ichangamuke kisiasa,
 
Back
Top Bottom