Tabiri nini matokeo ya Vita vya UKRAINE na Hatma ya dunia

Tabiri nini matokeo ya Vita vya UKRAINE na Hatma ya dunia

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
Kwa mtazamo wangu

1: Hakutakuwa na WW3
2: Russia hatatumia Nuclear wala Ukraine haitajisalimisha.
Russia itachoka, na wataingia makubaliano ya kusitisha vita ikiwa hoi kabisa na majeraha mengi bila kutumia Nyuklia zake.

3: USA atakuwa na nguvu kubwa kuliko MTU au taifa lolote kuliko hapo mwanzo. Chochote atakachosema hakuna wa kupinga.

4: USA watakuwa na nchi fuasi nyingi ambazo zikishirikiana kukuwekea vikwazo mbishi siku mbili ni nyingi unasalimu amri bila kurusha hata risasi moja.


Hii ndio trend yangu na utabiri wangu wa matokeo ya vita hii na madhara yake katika dunia.


Ili iwe tofauti, Russia atangaze VITA kamili. Aanze kushambulia moja kwa moja bila kuzungukazunguka na kudonoadonoa. Aweke pamba sikioni aingie kyiv aangushe serikali. Na hiki akifanye ndani ya mwezi mmoja tu. Akiendelea hivi hayo hapo juu yatatokea.
Wewe unatabiri nini?
 
Kwan kiev sio kwamba hatak ingia ila anaingiaje kwa mfano, si rahis kabisa kama tuonavyo
Ameshachelewa kwa maoni yangu. Naona kama Kiev iko armed kuliko kawaida. Na anavyochelewa ndivyo inazidi kujizatiti unaweza kuwezeshwa mifumo imara kuliko nchi zote duniani ili tu kumkomoa. Akifika aanze vita upya kabisa.

Nchi inavita lakini Kiev imeachwa salama hadi PM wa UK anaingia na kutoka salama utadhani ni nchi ambayo haijavamiwa na malaki ya majeshi.

Mikakati ya Putin siielewi ila simpuuzi.
 
Kwa mtazamo wangu

1: Hakutakuwa na WW3
2: Russia hatatumia Nuclear wala Ukraine haitajisalimisha.
Russia itachoka, na wataingia makubaliano ya kusitisha vita ikiwa hoi kabisa na majeraha mengi bila kutumia Nyuklia zake.

3: USA atakuwa na nguvu kubwa kuliko MTU au taifa lolote kuliko hapo mwanzo. Chochote atakachosema hakuna wa kupinga.

4: USA watakuwa na nchi fuasi nyingi ambazo zikishirikiana kukuwekea vikwazo mbishi siku mbili ni nyingi unasalimu amri bila kurusha hata risasi moja.


Hii ndio trend yangu na utabiri wangu wa matokeo ya vita hii na madhara yake katika dunia.


Ili iwe tofauti, Russia atangaze VITA kamili. Aanze kushambulia moja kwa moja bila kuzungukazunguka na kudonoadonoa. Aweke pamba sikioni aingie kyiv aangushe serikali. Na hiki akifanye ndani ya mwezi mmoja tu. Akiendelea hivi hayo hapo juu yatatokea.
Wewe unatabiri nini?
utabili wangu naona dola ya marekani ikianguka kabisa na kupotea it is matter of time
 
Kwa mtazamo wangu

1: Hakutakuwa na WW3
2: Russia hatatumia Nuclear wala Ukraine haitajisalimisha.
Russia itachoka, na wataingia makubaliano ya kusitisha vita ikiwa hoi kabisa na majeraha mengi bila kutumia Nyuklia zake.

3: USA atakuwa na nguvu kubwa kuliko MTU au taifa lolote kuliko hapo mwanzo. Chochote atakachosema hakuna wa kupinga.

4: USA watakuwa na nchi fuasi nyingi ambazo zikishirikiana kukuwekea vikwazo mbishi siku mbili ni nyingi unasalimu amri bila kurusha hata risasi moja.


Hii ndio trend yangu na utabiri wangu wa matokeo ya vita hii na madhara yake katika dunia.


Ili iwe tofauti, Russia atangaze VITA kamili. Aanze kushambulia moja kwa moja bila kuzungukazunguka na kudonoadonoa. Aweke pamba sikioni aingie kyiv aangushe serikali. Na hiki akifanye ndani ya mwezi mmoja tu. Akiendelea hivi hayo hapo juu yatatokea.
Wewe unatabiri nini?
Anguko la Putin na Russia kwa ujumla:
 
Tatizo la urusi ni kutaka vita, nnchi zilizo staarabika hazitaki vita. Kama unataka ubabe uoneshe kwenye uchumi wako.
Rassia anarudishwa karne ya 19 kama ataendelea na hii vita
[emoji1][emoji1][emoji1] aisee.
FRTP0HVXwAEVrOy.jpg
 
Ameshachelewa kwa maoni yangu. Naona kama Kiev iko armed kuliko kawaida. Na anavyochelewa ndivyo inazidi kujizatiti unaweza kuwezeshwa mifumo imara kuliko nchi zote duniani ili tu kumkomoa. Akifika aanze vita upya kabisa.

Nchi inavita lakini Kiev imeachwa salama hadi PM wa UK anaingia na kutoka salama utadhani ni nchi ambayo haijavamiwa na malaki ya majeshi.

Mikakati ya Putin siielewi ila simpuuzi.
Ukitangulia kuiangusha serikali document za matakwa yako atasaini nani? Ndio maana hata mariopol imetekwa ila meya bado yupo
 
Ameshachelewa kwa maoni yangu. Naona kama Kiev iko armed kuliko kawaida. Na anavyochelewa ndivyo inazidi kujizatiti unaweza kuwezeshwa mifumo imara kuliko nchi zote duniani ili tu kumkomoa. Akifika aanze vita upya kabisa.

Nchi inavita lakini Kiev imeachwa salama hadi PM wa UK anaingia na kutoka salama utadhani ni nchi ambayo haijavamiwa na malaki ya majeshi.

Mikakati ya Putin siielewi ila simpuuzi.
Kiev iko under full control unaon viongozi ote wakubwa leo wanakatiza mitaa ya Kiev bila hofu yeyt urusi hawez kugusa hap
 
Angalia hapa Kwa makini

Putin baada ya kushindwa atatangaza gwaride fake la kwamba azma yake ilikuwa Siri na kaitimiza..

Zelensky ataendelea kuwa Rais wa Ukraine

Ukraine wata imarika zaidi mpaka kufikia 2026

Ukraine anakuwa mwanachama wa EU rasmi

Russian Ruble itapanda thamani Kwa Muda mpaka December 2022 Lakin baadae inaanza kushuka, kwakuwa thamani yake imependa kutokana na kitu kinaitwa Peg situation ya muda mfupi na ukipatikana mfumo mbadala itakuwa inarejea Kwa nafasi yake na pengine kushuka zaidi

Kuna mataifa yataimarisha uhusiano na Ukriane kijeshi na kiuchumi hasa UK na US ..

Macron alisubiria uchaguzi uishe ili sasa aanze kuonesha upande wake ambao nadhani probably atafuata wakubwa wanataka nini…

Putin atadhoofika sana na inawezekana asiongoze Urusi Kwa Miaka mingine mitatu Yaan ama Kwa kuuwawa kiujanja Au kufa mwenyewe before 2025 …

Mbaya zaidi wakaingia Urusi vibaraka wa magharibi ambao watafanya uchumi urejee kawaida ila chini ya Uangalizi wa wajomba!!!

MOSCOW Mashambulizi yataendelea sana hasa Kwa Mwezi Mei 2022 … mioto ya kushangaza na mashambuliz yataanza kwakuwa silaha wanazopewa Ukraine watawashwa kuzitumia…


Mbaya zaidi Uchumi wa Urusi Kwa miezi 24 utashuka sana na Atakuwa chini ya ama china Kwa namna fulani…..

Kuna ma senior wataanza kumgeuka Putin na kukimbia nchi ….


Britanicca
 
Kwa mtazamo wangu

1: Hakutakuwa na WW3
2: Russia hatatumia Nuclear wala Ukraine haitajisalimisha.
Russia itachoka, na wataingia makubaliano ya kusitisha vita ikiwa hoi kabisa na majeraha mengi bila kutumia Nyuklia zake.

3: USA atakuwa na nguvu kubwa kuliko MTU au taifa lolote kuliko hapo mwanzo. Chochote atakachosema hakuna wa kupinga.

4: USA watakuwa na nchi fuasi nyingi ambazo zikishirikiana kukuwekea vikwazo mbishi siku mbili ni nyingi unasalimu amri bila kurusha hata risasi moja.


Hii ndio trend yangu na utabiri wangu wa matokeo ya vita hii na madhara yake katika dunia.


Ili iwe tofauti, Russia atangaze VITA kamili. Aanze kushambulia moja kwa moja bila kuzungukazunguka na kudonoadonoa. Aweke pamba sikioni aingie kyiv aangushe serikali. Na hiki akifanye ndani ya mwezi mmoja tu. Akiendelea hivi hayo hapo juu yatatokea.
Wewe unatabiri nini?
Huo sio utabiri ,Bali ni kitu ambacho unatamani kitokee Mungu anaweza kijibu maombi yako .
Ibada njema
 
kwa jinsi ninavyoona Urusi kwa sasa haiwezi kurusha ndege katika anga la Ukraine ndio maana Kyiv watu wazito wanaingia na kutoka bila wasiwasi
Hata kushambulia anashambulia tokea Russia
 
Back
Top Bottom