TABOA: Stendi za mabasi ya mkoa na daladala wawepo wasafiri pekee wafanyabiashara waondolewe kupunguza msongamano

TABOA: Stendi za mabasi ya mkoa na daladala wawepo wasafiri pekee wafanyabiashara waondolewe kupunguza msongamano

Mie najiuliza kwani bus la Mwanza Dar lazima liondoke alfajiri na kufika usiku wa manene? kwanini lisianze safari saa kumi jioni likafika kesho yake alfajiri?
 
Neno wapiga kura wangu linatumika vibaya hapa kwenye hii ishu....

Ahsante TABOA mmejitoa ufahamu kwamba hawapo pale kimakosa ila wamewekwa.... Wazo lenu sio korona tu kazieni watoke humo ni kero kwetu
 
Mie najiuliza kwani bus la Mwanza Dar lazima liondoke alfajiri na kufika usiku wa manene? kwanini lisianze safari saa kumi jioni likafika kesho yake alfajiri?
Yaani likitoka alfajiri linafika usiku wa manane na likitoka na likitoka saa kumi jioni linafika alfajiri, umeshajua kwanini wanazuiwa kusafiri usiku,
 
Neno wapiga kura wangu linatumika vibaya hapa kwenye hii ishu....

Ahsante TABOA mmejitoa ufahamu kwamba hawapo pale kimakosa ila wamewekwa.... Wazo lenu sio korona tu kazieni watoke humo ni kero kwetu

Ainea Mrutu alipambania sana wasafiri hadi changamoto za kupumua zikampitia akiwaacha wapiga kura wetu wamejazana kwenye ma stendi wakibugudhi wasafiri na kusambaza upendo (UVIKO) kwa raha zao.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Katibu mkuu wa chama cha wasafirishaji abiria ( Taboa) ndugu Mrutu ameiomba Tamisemi kuhakikisha vituoni wanabakia wasafiri tu ili kupunguza msongamano nyakati hizi za majanga ya Corona.

Mrutu amesema hata kwenye vituo vya daladala mfano Makumbusho kuna msongamano mkubwa sana wa watu lakini wengi wao siyo wasafiri. Hivyo ni muhimu wakabaki abiria wanaosubiri usafiri.

Source ITV
Meko hatakubali
 
Yale mabasi ya kampuni ya kirumo,yanayomilikiwa na Ainea mrutu yapogo au amekuwa amebakia kuwa msemaji wa Taboa kulamba hela ya chama? Taboa pitieni katiba yenu upya mpate kiongozi mwingine anayemiliki mabasi jamaa kampuni yake ilishakufaga huo
Yapo nenda same utayakuta kibao
 
Mawazo mazuri kama haya CCM hawawezi kuyakubali. Wao wanawaza kura tu mda wote.

Tunatumia mabilioni kujenga alafu tunaacha viharibiwe kwa muda mfupi.
Je? Wakati wa design na ujenzi suala la machinga ndani ya stand lilizingatiwa?

Wakati mwingine akili zetu hazina akili!!
 
Mawazo mazuri kama haya CCM hawawezi kuyakubali. Wao wanawaza kura tu mda wote.

Tunatumia mabilioni kujenga alafu tunaacha viharibiwe kwa muda mfupi.
Je? Wakati wa design na ujenzi suala la machinga ndani ya stand lilizingatiwa?

Wakati mwingine akili zetu hazina akili!!
Kwani hizi pavement sidewalks barabarani zilipojengwa wamachinga walizingatiwa?
Kama ulikua hujui kitambulisho cha mmachinga cha Tsh. 20,000 kinamruhusu kufanya biashara popote pale hata nje ya geti lako (kama hukuacha eneo nje ya mpaka wako)
 
Katibu mkuu wa chama cha wasafirishaji abiria ( Taboa) ndugu Mrutu ameiomba Tamisemi kuhakikisha vituoni wanabakia wasafiri tu ili kupunguza msongamano nyakati hizi za majanga ya Corona.

Mrutu amesema hata kwenye vituo vya daladala mfano Makumbusho kuna msongamano mkubwa sana wa watu lakini wengi wao siyo wasafiri. Hivyo ni muhimu wakabaki abiria wanaosubiri usafiri.

Source ITV
Mkiwaondoa mtapata wapi kura za wajinga ?
 
Mamlaka zitakubali kweli maana zinawaruhusu wenyewe...
 
Back
Top Bottom