Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
Maulid Kitenge 😂😂😂 ni ccm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maulid Kitenge 😂😂😂 ni ccm?
Hahahaaaa........ Naunga mkono majungu Tabora ndio kwao!Kwani kumetokea nini Mkuu? Au maneno ya Jana ya Mwenyekiti unadhani ndo tiba? Mnyamwezi na Majungu ni damudamu kama Mjaluo na uji.
Ulidhani ni ACT wazalendo?Maulid Kitenge 😂😂😂 ni ccm?
Happi wa Nzega! Ingawa sijui jamaa alikuwa anamaanisha Ali Happi au babake?Happi wa Singida
CCM imekufa kabisa ni hizo nguvu za police, mahakama, TRA and the likeNichukue fursa hii kuwaomba tena sana wanasiasa nguli, wabobezi na maarufu sana hapo Tabora muiponye CCM.
Niwataje kwa uchache Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Aden Rage, Athuman Mfutakamba, Prof Kapuya, Maulid Kitenge, Hussein Bashe, Fundikira, Ntimizi nk....nk.
Tabora ndio chimbuko la siasa za Tanzania!
Maendeleo hayana vyama!
Mama sitta ni wa Songwe sio
Kuna mdogo wake yupo huku north yaani ni mpare full nawajua baadhi ya watoto wake.Mama sitta ni wa Songwe sio wa tabora huko aliolewa tu
Mama Sitta ni Mnyiha kabila la akina Silinde!Kuna mdogo wake yupo huku north yaani ni mpare full nawajua baadhi ya watoto wake.
CCM iponywe vipi wakati ilishinda Uchaguzi majimbo yote Tanzania?Nichukue fursa hii kuwaomba tena sana wanasiasa nguli, wabobezi na maarufu sana hapo Tabora muiponye CCM.
Niwataje kwa uchache Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Aden Rage, Athuman Mfutakamba, Prof Kapuya, Maulid Kitenge, Hussein Bashe, Fundikira, Ntimizi nk....nk.
Tabora ndio chimbuko la siasa za Tanzania!
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Nyie mnaye Magdalena Sakaya!
Mama sitta ni wa Songwe sio wa tabora huko aliolewa tu
Usipoitajia Kilimanjaro huwa huna raha. Kwann usitaje Iringa au Njombe kwa Mgaya?Tabora imesheheni wanasiasa ikifuatiwa na Kilimanjaro!
Hahahaaaa.......hutaki kuwa namba 2 kwa majungu pia?!!Usipoitajia Kilimanjaro huwa huna raha. Kwann usitaje Iringa au Njombe kwa Mgaya?
Waache majungu wana Tabora!
Yupo kote!Maulid kitenge ni mwanaspoti au mwanasiasa?
Majungu yapo Njombe kwa Mgaya. Kesi ya yule uvccm mlimuua kule Njombe vp?Hahahaaaa.......hutaki kuwa namba 2 kwa majungu pia?!!
Yule aliuliwa na wafuasi wa Ufipa!Majungu yapo Njombe kwa Mgaya. Kesi ya yule uvccm mlimuua kule Njombe vp?
Jumapili leo, ndio madhara ya bia za offer hata nyama choma huli, unafakamia tu bila kujuwa tajiri ana sh ngapi mfukoni.