Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Basi watu wa Tabora wana laana, hata Magdalena Sakaya ni Mchaga, Kaliuya ameolewa tu na akabeba na ubunge.Mama sitta ni wa Songwe sio wa tabora huko aliolewa tu
Huu mkoa laana siyo bure, maana hata Rage sehemu zenye watu wenye akili timamu wasingethubutu kumpa ubunge Msomali.