Tabora: Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Rage, Prof Kapuya, mwanaspoti Maulidi Kitenge iponyeni CCM!

Tabora: Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Rage, Prof Kapuya, mwanaspoti Maulidi Kitenge iponyeni CCM!

Mama sitta ni wa Songwe sio wa tabora huko aliolewa tu
Basi watu wa Tabora wana laana, hata Magdalena Sakaya ni Mchaga, Kaliuya ameolewa tu na akabeba na ubunge.

Huu mkoa laana siyo bure, maana hata Rage sehemu zenye watu wenye akili timamu wasingethubutu kumpa ubunge Msomali.
 
Jumapili leo, ndio madhara ya bia za offer hata nyama choma huli, unafakamia tu bila kujuwa tajiri ana sh ngapi mfukoni.
Wengine siyo wakatoliki bwashee!

Hawanywi pombe wala hawali kitimoto.....ni najisi!
 
Basi watu wa Tabora wana laana, hata Magdalena Sakaya ni Mchaga, Kaliuya ameolewa tu na akabeba na ubunge.

Huu mkoa laana siyo bure, maana hata Rage sehemu zenye watu wenye akili timamu wasingethubutu kumpa ubunge Msomali.
Mbona Sugu na mchungaji Msigwa ni wakinga lakini hawakuwa wabunge wa Makete?

Tanzania ni taifa moja bwashee!
 
Wengine siyo wakatoliki bwashee!

Hawanywi pombe wala hawali kitimoto.....ni najisi!
Hayo mambo hayana dini, waislamu wanakunywa pombe na wanakula kitimoto.

Walichofanya wakatoliki ni kujitenga na unafki, parokiani bia zinapatikana kama kawaida na kiti moto inaliwa vizuri tu.
 
Kuna Mkinga anaitwa Mbilinyi? msigwa ni jina la Kihehe.
Hakuna mhehe anaitwa Msigwa.

Msigwa utawapata Milima ya Uwanji anakotoka mchungaji Peter kadhalika wako Ubenani na kule Mlangali Ludewa.

Hao akina Mbilinyi ndio pure wakinga wa Bulongwa na mjini Makete.
 
Kama Hawa uliowataja ndiyo wanasiasa nguli na maarufu huko Tabora, Basi CCM Tabora kuna ukame wa watu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]
 
Nichukue fursa hii kuwaomba tena sana wanasiasa nguli, wabobezi na maarufu sana hapo Tabora muiponye CCM.

Niwataje kwa uchache Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Aden Rage, Athuman Mfutakamba, Prof Kapuya, Maulid Kitenge, Hussein Bashe, Fundikira, Ntimizi nk....nk.

Tabora ndio chimbuko la siasa za Tanzania!

Maendeleo hayana vyama!
Hakuna Mwanasiasa hapo wote Wadangaji wa Siasa
 
Nichukue fursa hii kuwaomba tena sana wanasiasa nguli, wabobezi na maarufu sana hapo Tabora muiponye CCM.

Niwataje kwa uchache Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Aden Rage, Athuman Mfutakamba, Prof Kapuya, Maulid Kitenge, Hussein Bashe, Fundikira, Ntimizi nk....nk.

Tabora ndio chimbuko la siasa za Tanzania!

Maendeleo hayana vyama!
Huyu Maulidi naye ni Tabora? siyo mswahili wa Pwani?
 
Ni mzaliwa wa tabora Nzega ,Baba yake Mzee salum Happi alikuwa ni mwasi wa huko Kolo kondoa
Baba yake alikuwa askali aliuwawa na majambazi
Ali hapi huwa anaenda Sana kolo wasi kusalimia ndugu zake pia ana mjengo huko.


Alli Hana Noma akiwa Kolo wasi wanampenda Sana
Kumbe ni Kondoa moja, ndiyo maana hana ufahamu vizuri
 
Back
Top Bottom