Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Basi watu wa Tabora wana laana, hata Magdalena Sakaya ni Mchaga, Kaliuya ameolewa tu na akabeba na ubunge.Mama sitta ni wa Songwe sio wa tabora huko aliolewa tu
Happi wa kondoa milima ya kolo wasi mkoani dodoma mzeeHappi wa Singida
Wengine siyo wakatoliki bwashee!Jumapili leo, ndio madhara ya bia za offer hata nyama choma huli, unafakamia tu bila kujuwa tajiri ana sh ngapi mfukoni.
Mbona Sugu na mchungaji Msigwa ni wakinga lakini hawakuwa wabunge wa Makete?Basi watu wa Tabora wana laana, hata Magdalena Sakaya ni Mchaga, Kaliuya ameolewa tu na akabeba na ubunge.
Huu mkoa laana siyo bure, maana hata Rage sehemu zenye watu wenye akili timamu wasingethubutu kumpa ubunge Msomali.
Hayo mambo hayana dini, waislamu wanakunywa pombe na wanakula kitimoto.Wengine siyo wakatoliki bwashee!
Hawanywi pombe wala hawali kitimoto.....ni najisi!
Kuna Mkinga anaitwa Mbilinyi? msigwa ni jina la Kihehe.Mbona Sugu na mchungaji Msigwa ni wakinga lakini hawakuwa wabunge wa Makete?
Tanzania ni taifa moja bwashee!
Hakuna mhehe anaitwa Msigwa.Kuna Mkinga anaitwa Mbilinyi? msigwa ni jina la Kihehe.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]Kama Hawa uliowataja ndiyo wanasiasa nguli na maarufu huko Tabora, Basi CCM Tabora kuna ukame wa watu.
Sikatai lakini mdogo wake kaolewa upareni.Mama Sitta ni Mnyiha kabila la akina Silinde!
Mtoto wa nzega huyo japo mnyiramba,a,e,i,o,u kazijulia nzegaHappi wa Singida
Hakuna Mwanasiasa hapo wote Wadangaji wa SiasaNichukue fursa hii kuwaomba tena sana wanasiasa nguli, wabobezi na maarufu sana hapo Tabora muiponye CCM.
Niwataje kwa uchache Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Aden Rage, Athuman Mfutakamba, Prof Kapuya, Maulid Kitenge, Hussein Bashe, Fundikira, Ntimizi nk....nk.
Tabora ndio chimbuko la siasa za Tanzania!
Maendeleo hayana vyama!
Huyu Maulidi naye ni Tabora? siyo mswahili wa Pwani?Nichukue fursa hii kuwaomba tena sana wanasiasa nguli, wabobezi na maarufu sana hapo Tabora muiponye CCM.
Niwataje kwa uchache Dr Kigwangalla, Salum Happi, Ismail Aden Rage, Athuman Mfutakamba, Prof Kapuya, Maulid Kitenge, Hussein Bashe, Fundikira, Ntimizi nk....nk.
Tabora ndio chimbuko la siasa za Tanzania!
Maendeleo hayana vyama!
Sure ni matapeliHakuna Mwanasiasa hapo wote Wadangaji wa Siasa
Kumbe ni Kondoa moja, ndiyo maana hana ufahamu vizuriNi mzaliwa wa tabora Nzega ,Baba yake Mzee salum Happi alikuwa ni mwasi wa huko Kolo kondoa
Baba yake alikuwa askali aliuwawa na majambazi
Ali hapi huwa anaenda Sana kolo wasi kusalimia ndugu zake pia ana mjengo huko.
Alli Hana Noma akiwa Kolo wasi wanampenda Sana