Tabora ina shangaza sana sijui ni ushamba au nini

Tabora ina shangaza sana sijui ni ushamba au nini

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
 
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
Tabora ni Mpwayungu Village iliyochangamka
 
IMG-20250202-WA0046.jpg
 
Ukweli ni kuwa kwenye nchi hii ushabiki wa mpira umegawanyika Kwa timu hizi mbili kubwa Simba na Yanga, siyo Tabora tu hata ingekuwa mwanza au Arusha bado wengi wangeshabikia either Yanga au Simba hata kama zinacheza na timu zao za nyumbani , huo ndo uhalisia wa ushabiki wa mpira wa nchi hii, ni tofauti na ulaya huko unakuta watu ni mashabiki ndakindaki wa timu ndogo mfano Southampton, deportivo alaves, Monza, Brest, tsg hoffenheim n.k
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
 
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
Subirini mkienda Nyie walamba ndimu mziache 3 kama pale chamanzi
 
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
Nadhan wataanza kujifunza mechi ya marudiano na utopolo
 
Miaka ya nyuma mtibwa sugar na wagosi wakaya peke yao ndio walikuwa wakiwa nyumbani unaona kweli hawa wapo nyumbani kwa wingi wa mashabiki wao

Now kidogo naona mashujaa wanajitajidi kuwa na mashabiki wakiwa kwao dhidi ya timu kubwa
 
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
Umeshatoa tigo aka banio kama ulivyoahidi?
 
Back
Top Bottom