Tabora ina shangaza sana sijui ni ushamba au nini

Tabora ina shangaza sana sijui ni ushamba au nini

Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
Wewe utopolo tulia, itakuwa ndio mlihusika kuroga lakini mambo si mambo, ninyi si mbafadhili nudubya ligi na mnapata matokeo laini? Ligi dhaifu... Mwalimu saidi yuko sahihi
 
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
Jifunze kuandika kabla hujawalaumu tabora
 
Jifunze kuandika kabla hujawalaumu tabora
Nisaidie nioneshe nimekosea wapi kuandika.... Maana nyie kidato cha nne ambao mmemaliza mwaka jana hamkuendelea na masomo mna sumbua sana humu. Onesha nimekosea nini.
 
Nyie mods hawa wenye changamoto ya akili fc bado hamuwapi Ban na waliiiomba wenyewe
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hata yanga akienda tabora atajaza uwanja hivyo hivyo ndugu,mikoa mingi imeshindwa kujizuia likija swala la simba na yanga.
Waliopo dar es salaam ndo wametoka huko mikoani,hivyo timu za dar zinakuwa zao.pole kwa mtani mtoa hoja
 
Simba wapo ugenini kikanuni ila kiuhalisia ni kama walikuwa home tu. Uwanja umejaa watu wa simba utadhani ni dsm

Jifunzeni uzalendo nyie wakulima. Mnaipenda simba badala.ya team yenu.ya home. Halafu mnatoa siri.za ushindi au kukwepa kipigo kwa manyau wenu kuwa wasipite hapa na pale. Huo ni ubozo.

Goals ambazo ilikuwa wafungwe wao hawa mkia mmefungwa ninyi. Na mliambiwa kabisa kuwa mvalisheni nani na nani nini na hakikisheni wanapita wapi. Kuna mashabiki ubwabwa wanavujisha siri.hovyo sana litimu lenu litashuka daraja mbaki mnavuta tumbaku tu. Hovyo kabisa.huo ni ushamba ndo maana mpo mashambani na uwanja mbaya.
Kuna mahali umelowa bila shaka ni kwenye kalio. Uto bhana!
 
Back
Top Bottom