Tabora ina shangaza sana sijui ni ushamba au nini

Wewe utopolo tulia, itakuwa ndio mlihusika kuroga lakini mambo si mambo, ninyi si mbafadhili nudubya ligi na mnapata matokeo laini? Ligi dhaifu... Mwalimu saidi yuko sahihi
 
Jifunze kuandika kabla hujawalaumu tabora
 
Jifunze kuandika kabla hujawalaumu tabora
Nisaidie nioneshe nimekosea wapi kuandika.... Maana nyie kidato cha nne ambao mmemaliza mwaka jana hamkuendelea na masomo mna sumbua sana humu. Onesha nimekosea nini.
 
Nyie mods hawa wenye changamoto ya akili fc bado hamuwapi Ban na waliiiomba wenyewe
 
Reactions: Tui
Hata yanga akienda tabora atajaza uwanja hivyo hivyo ndugu,mikoa mingi imeshindwa kujizuia likija swala la simba na yanga.
Waliopo dar es salaam ndo wametoka huko mikoani,hivyo timu za dar zinakuwa zao.pole kwa mtani mtoa hoja
 
Kuna mahali umelowa bila shaka ni kwenye kalio. Uto bhana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…